Upatikanaji wa kuku wa kienyeji

Upatikanaji wa kuku wa kienyeji

the numb 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2020
Posts
1,562
Reaction score
2,902
Mimi nipo dar es salaam Ningependa kuuliza mambo kadhaa kuhusu kuku wa kienyeji na upatikanaji wake kwa mkoa wa singida kwasababu nmesikia wanapatikana huko kwa bei nzuri.

Ila pia hata ikitokea mkoa wowote ambao si mbali na dsm kwa bei nzur pia sio mbaya.

Karibuni wakuu nasubiria mrejesho wenu.
 
Hawa hapa
IMG_20210605_125258_146.jpg
 
Kwa singida sio kwamba wako sehemi wamekaa no bali wanakusanhwa kwenye masoko na minada, unakuta Watu wanaenda kukusanya kwenye minada
 
Ni mzoedu kwenye kununua minadani??
Yes ila inabidi uwe sungura unapokuwa mnadani kwan kwani mkulima akitua tuu na tenga madalali haraka sana wanamgombania kama zinavogombaniwa gari za mbagala pale mnazi mmoja na ww inabidi ufanye kama wao usimuangalie mtu usoni wakiona hivyo tuu wanakuheshimu wanajua na ww vurugu unaziweza
 
Kuku kienyeji shida iliyopo wakulima wanavuna, hawahitaji kuuza kununua chakula au mahitaji mengine, wanauza mazao, so hata minadani ni shida kuwapata wakubwa na wengi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom