Upatikanaji wa soko la mayai na nyama ya kuku Bukoba

Mugaisha

Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
6
Reaction score
1
Jamani kwa wakazi wa Bukoba na wageni.. hapawezi kupatikana madalali wanaoaminika wenye ofisi kwa ajili ya uuzaji wa mayai na nyama ya kuku hata
 
Mbona mashule mengi huko.....si uende uombe kuwa supply mayai atleast mara moja kwa wiki
 
Kuna shule nyingi Sana bukoba.

Omba tenda kwenye shule mojawapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…