Upatikani Viatu na Mikoba ya Kike nchini Uganda

Upatikani Viatu na Mikoba ya Kike nchini Uganda

Habari wana bodi,naomba kupata uzoefu kutoka kwenu ni maeneo gani nchini uganda naweza kupata viatu na mikoba ya kike (vyote vya dukani) pamoja na bei ya jumla mana natarajia kufungua duka la ivyo vitu jijini mwanza na sio vibaya mkinishauri na soko lake kama vinauzika...thanks.
Modes please msiunganishe uzi huu na ule mwingine wa biashara ya nguo nchini Uganda

Mkuu kama unahitaji mikoba safi kwa jumla tuwasiane tufanye biashara ni mizuri unaweza kunipm nikutumie kwa whatsapp.
 
Mkuu kama unahitaji mikoba safi kwa jumla tuwasiane tufanye biashara ni mizuri unaweza kunipm nikutumie kwa whatsapp.
PM ya nini tena wengine watajuaje ! kuna siri gani hapo!
 
Ok fanya ivo kiongozi wang
 
Nimetokea Kampala Uganda leo. Nikiwa huko nimehangaika kutafuta mikoba ya kike hadi nimechoka, kila duka ninaloingia naona bei ni kubwa kuliko Tanzania. Bei yao ina varry kutoka UGsh120,000 hadi 200,000. Sh.1 ya Tanzania ni sawa na UGsh5. Kwa hiyo ni kama sh60,000 hadi 100,000 ya TZ. Wakati mikoba hiyo hapa Dar unapata kwa 50,000 na kuendelea.
Sijui lakini, labda kama kuna mahali wanapouza bei za chini sikupajua.
 
Pole kiongozi,vipi viatu vya kike # kidamva
 
Biashara hiyo ongoza china mjomba uganda wenyewe wanachukua china
 
Back
Top Bottom