sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Sep 8, 2016 #1 Na hii ni kutoka Magazetini. Waandishi wa habari za michezo nchini Tanzania, hatimae watoa ya moyoni kuhusu ubora wa Mnyama Msimu huu. Hebu pitia [emoji116] kuona waliyonena. Alafu "mtani" hii [emoji116] kachumbari style imeishia wapi?? [emoji2] [emoji2] ANGALIZO: Simba SC ya Msimu huu si ya magazetini kabisa, ila waandishi hawana jinsi inabidi waandike tu. MWISHO: Sisi na Wao ni 01.10.2016.
Na hii ni kutoka Magazetini. Waandishi wa habari za michezo nchini Tanzania, hatimae watoa ya moyoni kuhusu ubora wa Mnyama Msimu huu. Hebu pitia [emoji116] kuona waliyonena. Alafu "mtani" hii [emoji116] kachumbari style imeishia wapi?? [emoji2] [emoji2] ANGALIZO: Simba SC ya Msimu huu si ya magazetini kabisa, ila waandishi hawana jinsi inabidi waandike tu. MWISHO: Sisi na Wao ni 01.10.2016.
WA PATI Senior Member Joined Aug 20, 2013 Posts 195 Reaction score 211 Sep 8, 2016 #2 Unafaa kabisa kuwa msemaji wa Taifa kubwa naamanisha Simba Sports Club.
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Sep 8, 2016 Thread starter #3 WA PATI said: Unafaa kabisa kuwa msemaji wa Taifa kubwa naamanisha Simba Sports Club. Click to expand... Shukrani Mkuu.. Ila nadhani huku pananifaa zaidi. Acha tuendelee kuplay part yetu mitandaoni, huku Manara akiendelea "kuwavuruga" katika redio, TV n.k
WA PATI said: Unafaa kabisa kuwa msemaji wa Taifa kubwa naamanisha Simba Sports Club. Click to expand... Shukrani Mkuu.. Ila nadhani huku pananifaa zaidi. Acha tuendelee kuplay part yetu mitandaoni, huku Manara akiendelea "kuwavuruga" katika redio, TV n.k
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Sep 9, 2016 #4 Wewe ni Mikia FC tu..usikimbie siku hiyo...
pachachiza JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,863 Reaction score 2,757 Sep 9, 2016 #5 Ss hapo timu ya magazeti ni ipi jamani?
Nas Mapesa JF-Expert Member Joined Jul 31, 2014 Posts 5,286 Reaction score 5,421 Sep 9, 2016 #6 tar 1mkitufunga nipigwe ban,simba lake pori mpira una wenyewe.
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Sep 9, 2016 Thread starter #7 Ulimakafu said: Wewe ni Mikia FC tu..usikimbie siku hiyo... Click to expand... Mkuu hii [emoji116] kachumbali style imeishia wapi? Au mlizidisha Nyanya?
Ulimakafu said: Wewe ni Mikia FC tu..usikimbie siku hiyo... Click to expand... Mkuu hii [emoji116] kachumbali style imeishia wapi? Au mlizidisha Nyanya?
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Sep 9, 2016 Thread starter #8 pachachiza said: Ss hapo timu ya magazeti ni ipi jamani? Click to expand... Najinukuu.. [emoji117] "..Simba SC ya Msimu huu si ya magazetini kabisa, ila waandishi hawana jinsi inabidi waandike tu."... Mwisho wa kujinukuu. nasmapesa said: tar 1mkitufunga nipigwe ban,simba lake pori mpira una wenyewe. Click to expand... cc Moderator
pachachiza said: Ss hapo timu ya magazeti ni ipi jamani? Click to expand... Najinukuu.. [emoji117] "..Simba SC ya Msimu huu si ya magazetini kabisa, ila waandishi hawana jinsi inabidi waandike tu."... Mwisho wa kujinukuu. nasmapesa said: tar 1mkitufunga nipigwe ban,simba lake pori mpira una wenyewe. Click to expand... cc Moderator
pachachiza JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,863 Reaction score 2,757 Sep 10, 2016 #9 Yanga yarudi kwenye nafasi yake
stable-negro JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 509 Reaction score 347 Sep 10, 2016 #10 Simba na Arsenal misimu ya hivi karibuni zimekuwa zikifanana kwa kiasi kikubwa....wanaanza kwa mbwembwe ila wanamalizia kwa aibu... Tuwe na subira, muda ndo msema kweli!!!
Simba na Arsenal misimu ya hivi karibuni zimekuwa zikifanana kwa kiasi kikubwa....wanaanza kwa mbwembwe ila wanamalizia kwa aibu... Tuwe na subira, muda ndo msema kweli!!!