Update 2: "Kwani sisi na wao Lini??"

Update 2: "Kwani sisi na wao Lini??"

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Na hii ni kutoka Magazetini.

Waandishi wa habari za michezo nchini Tanzania, hatimae watoa ya moyoni kuhusu ubora wa Mnyama Msimu huu.
Hebu pitia [emoji116] kuona waliyonena.

1473317361407.jpg


1473317381870.jpg


1473317396340.jpg


1473317408260.jpg


1473317439227.jpg


1473317425713.jpg


1473317455421.jpg


1473317480121.jpg


1473317467364.jpg


1473317496378.jpg


1473317522444.jpg


1473317536862.jpg


1473317552070.jpg


1473317590842.jpg



Alafu "mtani" hii [emoji116] kachumbari style imeishia wapi?? [emoji2] [emoji2]

1473317690528.jpg


ANGALIZO: Simba SC ya Msimu huu si ya magazetini kabisa, ila waandishi hawana jinsi inabidi waandike tu.

MWISHO: Sisi na Wao ni 01.10.2016.
 
Unafaa kabisa kuwa msemaji wa Taifa kubwa naamanisha Simba Sports Club.
 
Unafaa kabisa kuwa msemaji wa Taifa kubwa naamanisha Simba Sports Club.
Shukrani Mkuu.. Ila nadhani huku pananifaa zaidi.
Acha tuendelee kuplay part yetu mitandaoni, huku Manara akiendelea "kuwavuruga" katika redio, TV n.k
 
tar 1mkitufunga nipigwe ban,simba lake pori mpira una wenyewe.
 
Simba na Arsenal misimu ya hivi karibuni zimekuwa zikifanana kwa kiasi kikubwa....wanaanza kwa mbwembwe ila wanamalizia kwa aibu...

Tuwe na subira, muda ndo msema kweli!!!
 
Back
Top Bottom