Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
UPDATE: Babu seya,Papii Kocha kunyea debe Maisha...Ni baada ya Rufaa yao ya mwisho kutupiliwa mbali na Mhakama hii Leo...!!
Mwanamziki mkongwe nchini Nguza Viking aka Babu Seya na mwanaye Papii Kocha, wataendelea
na kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufani nchini kuitupilia mbali rufaa yao
iliyosikilizwa leo
Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya
kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo
wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.
Mwanamziki mkongwe nchini Nguza Viking aka Babu Seya na mwanaye Papii Kocha, wataendelea
na kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufani nchini kuitupilia mbali rufaa yao
iliyosikilizwa leo
Babu Seya na Papii Kocha walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya
kupatikana na hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini Dar ambapo
wamekuwa wakikata rufaa mara kwa mara lakini wakagonga mwamba. Hukumu hii ya rufaa ndiyo ya mwisho kusikilizwa.