UPDATE: Boniface Jacob kuendelea kusota rumande baada ya jeshi la Magereza kukosa usafiri wa kumfikisha Mahakamani Kisutu kusikiliza dhamana yake

UPDATE: Boniface Jacob kuendelea kusota rumande baada ya jeshi la Magereza kukosa usafiri wa kumfikisha Mahakamani Kisutu kusikiliza dhamana yake

Hatima ya dhamana ya Boniface Jacob "Boni Yai," itajulikana leo, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai alikamatwa na kuletwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambapo alikabiliwa na mashitaka mawili, ambayo aliyakana.

Upande wa mashitaka, ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ulieleza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kuwasilisha maombi mawili: moja ikihusisha kuingiliwa kwa vifaa vya kielektroniki vya mshitakiwa na nyingine ikidai kuzuia dhamana kwa ajili ya usalama wa mshitakiwa.

Katuga alidai Yai alieleza kuwa anajua atatekwa na kuuawa. Hata hivyo, mawakili wa utetezi, wakiongozwa na Peter Kibatala, walipinga maombi hayo wakidai kuwa yalifanywa kinyume cha sheria na yana kasoro.


UPDATE
Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

---

Pia soma
chadema.png
 
Hivi nyie mnafikiri kuna vyombo vya usalama Tz ukiacha JWTZ? Kuna majambazi majizi mijibwa yanayotumwa tu kama majini! Ukiwa na pesa kidogo unaweza kukodi hizi mbwa kuteka yeyote na kumuua trust me!
Hivi mnajua zile SMG zinazotumika kwenye ujambazi ni za polisi wanaziamisha wenyewe wakiwa kwenye malindo ya benk???
 
Usafiri umekosekana

Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

Pia soma:Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kutoa uamuzi wa dhamana Boniface Jacob, septemba 23, 2024
Nchi kwishney! kila kitu compromised! hadi mahakama!!
 
Kimbia canada mangi si manajiona mnazo akili wengine ambao sio misukule ya mzee mbowe ni wajinga?
Hivi seriously unapojibu hapa unafikiria kweli?
Hivi unaona ni sawa vijana wadogo wanaitwa na Jeshi la polisi na kupotea? Angekuwa mwanao ungefikiri unavyofikiri na ungekoment hapa hivi hivi
Hivi unaona ile damu ya yule mzee wa tanga haina thamani?
Hivi Ben saa 8 angekuwa nduguyo ungekoment hivi?
Mahakama zimeonyesha udhaifu mara 2 yule Mbwana kombo wa Tanga aliamrishwa aletwe mahakamani polisi wakakataa!!
Mengi mno! Mfumo wa sheria usipoaminika kutakuwa na amani?? Watu waende wapi?
Fikiria tu!!
 
Hatima ya dhamana ya Boniface Jacob "Boni Yai," itajulikana leo, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai alikamatwa na kuletwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambapo alikabiliwa na mashitaka mawili, ambayo aliyakana.

Upande wa mashitaka, ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ulieleza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kuwasilisha maombi mawili: moja ikihusisha kuingiliwa kwa vifaa vya kielektroniki vya mshitakiwa na nyingine ikidai kuzuia dhamana kwa ajili ya usalama wa mshitakiwa.

Katuga alidai Yai alieleza kuwa anajua atatekwa na kuuawa. Hata hivyo, mawakili wa utetezi, wakiongozwa na Peter Kibatala, walipinga maombi hayo wakidai kuwa yalifanywa kinyume cha sheria na yana kasoro.


UPDATE
Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

---

Pia soma
Lakini magari ya kuteka na kuzurura jiji zima yapo
 
Hivi seriously unapojibu hapa unafikiria kweli?
Hivi unaona ni sawa vijana wadogo wanaitwa na Jeshi la polisi na kupotea? Angekuwa mwanao ungefikiri unavyofikiri na ungekoment hapa hivi hivi
Hivi unaona ile damu ya yule mzee wa tanga haina thamani?
Hivi Ben saa 8 angekuwa nduguyo ungekoment hivi?
Mahakama zimeonyesha udhaifu mara 2 yule Mbwana kombo wa Tanga aliamrishwa aletwe mahakamani polisi wakakataa!!
Mengi mno! Mfumo wa sheria usipoaminika kutakuwa na amani?? Watu waende wapi?
Fikiria tu!!
Kwani jeshi la polisi si nalo lipo kisheria na lina haki zake pia usisahau hilo!!
 
Hatima ya dhamana ya Boniface Jacob "Boni Yai," itajulikana leo, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai alikamatwa na kuletwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambapo alikabiliwa na mashitaka mawili, ambayo aliyakana.

Upande wa mashitaka, ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ulieleza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kuwasilisha maombi mawili: moja ikihusisha kuingiliwa kwa vifaa vya kielektroniki vya mshitakiwa na nyingine ikidai kuzuia dhamana kwa ajili ya usalama wa mshitakiwa.

Katuga alidai Yai alieleza kuwa anajua atatekwa na kuuawa. Hata hivyo, mawakili wa utetezi, wakiongozwa na Peter Kibatala, walipinga maombi hayo wakidai kuwa yalifanywa kinyume cha sheria na yana kasoro.


UPDATE
Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

---

Pia soma
Huwa ninashangaa sana pale ninapoona taasisi/ watu wazima wanafanya mambo ya kitoto! Au watu ambao wanatakiwa kufanya mambo kitaalam, wakaleta ujinga/upuuzi kwa manufaa ya wanasiasa uchwara!

Hivi katika hali ya kawaida kabisa; magereza wanakosaje gari la kumfikisha mtuhumiwa mahakamani! Kama siyo ujinga/upuuzi/utoto; ni nini!!!
 
Sio mbaya na awamu ijayo tyre ipasuke barabarani muhimu sababu ipakane akikaaa mwezi awe kamanda hasa
 
Hatima ya dhamana ya Boniface Jacob "Boni Yai," itajulikana leo, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai alikamatwa na kuletwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambapo alikabiliwa na mashitaka mawili, ambayo aliyakana.

Upande wa mashitaka, ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ulieleza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kuwasilisha maombi mawili: moja ikihusisha kuingiliwa kwa vifaa vya kielektroniki vya mshitakiwa na nyingine ikidai kuzuia dhamana kwa ajili ya usalama wa mshitakiwa.

Katuga alidai Yai alieleza kuwa anajua atatekwa na kuuawa. Hata hivyo, mawakili wa utetezi, wakiongozwa na Peter Kibatala, walipinga maombi hayo wakidai kuwa yalifanywa kinyume cha sheria na yana kasoro.


UPDATE
Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

---

Pia soma
Kwanza Kuna maandamano gari Zina hela heka kuwakabili vibaraka wa Wazungu 🤣🤣
 
Hatima ya dhamana ya Boniface Jacob "Boni Yai," itajulikana leo, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai alikamatwa na kuletwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambapo alikabiliwa na mashitaka mawili, ambayo aliyakana.

Upande wa mashitaka, ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ulieleza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kuwasilisha maombi mawili: moja ikihusisha kuingiliwa kwa vifaa vya kielektroniki vya mshitakiwa na nyingine ikidai kuzuia dhamana kwa ajili ya usalama wa mshitakiwa.

Katuga alidai Yai alieleza kuwa anajua atatekwa na kuuawa. Hata hivyo, mawakili wa utetezi, wakiongozwa na Peter Kibatala, walipinga maombi hayo wakidai kuwa yalifanywa kinyume cha sheria na yana kasoro.


UPDATE
Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

---

Pia soma
a
Hatima ya dhamana ya Boniface Jacob "Boni Yai," itajulikana leo, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai alikamatwa na kuletwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ambapo alikabiliwa na mashitaka mawili, ambayo aliyakana.

Upande wa mashitaka, ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, ulieleza kwamba upelelezi bado haujakamilika na kuwasilisha maombi mawili: moja ikihusisha kuingiliwa kwa vifaa vya kielektroniki vya mshitakiwa na nyingine ikidai kuzuia dhamana kwa ajili ya usalama wa mshitakiwa.

Katuga alidai Yai alieleza kuwa anajua atatekwa na kuuawa. Hata hivyo, mawakili wa utetezi, wakiongozwa na Peter Kibatala, walipinga maombi hayo wakidai kuwa yalifanywa kinyume cha sheria na yana kasoro.


UPDATE
Uamuzi wa dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob 'Boni Yai' umekwama kutokana na Jeshi la Magereza kushindwa kumfikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kilichoelezwa mahakamani hapo kuwa hakuna usafiri wa kumfikisha mahakamani hapo.

Mahakama hiyo itatoa uamuzi tarehe 26 Septemba 2024, siku ya

---

Pia soma
Hizi ni njama za kumkomoa kwa amri lile shetani la kike linalojivika uchamungu bandia
 
Ndiyo maana tunasema dhamana kwa aina ya makosa anayotuhumiwa Meya mstaafu au mtanzania yoyote ni haki yake.

Sasa leo mtanzania aliyenyimwa dhamana, dola imeshindwa kumfikisha mahakamani kutokana na suala la usafiri.

Boniface Jacob angekuwa amepewa dhamana muda wa miada wa mahakama na mahakimu usingepotea bure.

Ndiyo maana inatakiwa katiba mpya isisitize haki ya dhamana inazingatiwa kwa watanzania wote bila kujali chama, wadhifa au mwenyejina wanapotuuhumiwa na kuletwa mahakamani.
 
Hakuna watu wa ovyo katika dunia hii kama Watanganyika nahisi yale mamoshi ya mwenge ambao wenyewe tunauita wa uhuru na yale makafara yaliyokuwa yakifanyika huko Bagamoyo na Lindi yameharibu vichwa vya Watanganyika! Angalia hao magereza wanamtesa Mtanganyika mwenzao kwa ajili ya kumfurahisha mtu baki!
 
Hivi seriously unapojibu hapa unafikiria kweli?
Hivi unaona ni sawa vijana wadogo wanaitwa na Jeshi la polisi na kupotea? Angekuwa mwanao ungefikiri unavyofikiri na ungekoment hapa hivi hivi
Hivi unaona ile damu ya yule mzee wa tanga haina thamani?
Hivi Ben saa 8 angekuwa nduguyo ungekoment hivi?
Mahakama zimeonyesha udhaifu mara 2 yule Mbwana kombo wa Tanga aliamrishwa aletwe mahakamani polisi wakakataa!!
Mengi mno! Mfumo wa sheria usipoaminika kutakuwa na amani?? Watu waende wapi?
Fikiria tu!!
Acha hizo MANGI hivi hamjiuliza kwa nini ni Chadema tu ? Hivi nyie chadema na Act Wazelondo nani mwenye impact kwnye siasa za nchi kwa sasa? Wenzenu wako kwenye serikaili kule zanziba na wala hatusikii matukio .Acheni kabisa.Ni kweli kabisa kuwa hakuna asietaka uhai wa mwenzake ila nyie misukule ya chadema jitafakarini aisee
 
Hakuna watu wa ovyo katika dunia hii kama Watanganyika nahisi yale mamoshi ya mwenge ambao wenyewe tunauita wa uhuru na yale makafara yaliyokuwa yakifanyika huko Bagamoyo na Lindi yameharibu vichwa vya Watanganyika! Angalia hao magereza wanamtesa Mtanganyika mwenzao kwa ajili ya kumfurahisha mtu baki!
Haya momoshi ya mwenge hayajawadhuru misukule ya mzee mbowe?
 
Back
Top Bottom