Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hebu niache [emoji16]Na wewe ntakusifia. Ntaanzisha Uzi maalumu Kwa ajili yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu niache [emoji16]Na wewe ntakusifia. Ntaanzisha Uzi maalumu Kwa ajili yako.
nilijua tu utabweka namna hiiSasa mawazo yako unatuambia sisi ya nini?
Nabweka mi mbwa?nilijua tu utabweka namna hii
sorry dada sijamaanisha hivo ulivochukuliaNabweka mi mbwa?
Kumbe umemaanishajesorry dada sijamaanisha hivo ulivochukulia
mtu mwenye wivu hubwata anapoona situation za vile kwa mwenza wake ndo maana nikasema kule juu ni wivu mkuu.Kumbe umemaanishaje
Mbna unamfokea?...[emoji85]Kumbe umemaanishaje
Paula Paul . We Acha TU. Halima Hussein is something else. Mwaka 2002 nikiwa kidato cha nne nilikutana na demu mmoja. Huyo demu anafanana na Halima Hussein kwa mbaali Sana ( hiyo kwa mbali Sana itamke kwa Sauti ya Suleiman Bungara ) bahati nzuri dada huyu alisoma shule moja ya msingi na Halima Hussein so anamjua Halima Hussein ni kiumbe wa aina gani.
So nikamchekecha
Mimi : Mambo dada ? ( Alikuwa anatembea kwa haraka )
Mdada : poa . Huku anaenda.
Mimi : samahani nimekufananisha na mtu .
Mdada : huku anaenda " umenifananisha na Nani ? . ( Miaka hiyo ilikuwaga ndo staili ya kutongozea mademu.. samahani nimekufananisha.. samahani naomba kuuliza etc )
Mimi : Halima Hussein. Aliposikia Halima Hussein akapunguza mwendo.
Mdada : Halima Hussein yupi?
Mimi : nikamtajia jina la ukoo laHalima Hussein ambalo nalihifadhi Hapa. Baba ake na Halima alikuwa shekhe mkubwa Tu na maarufu
Mdada : huku anacheka cheka tabasamu pana la kutoka moyoni, Yani kama kaambiwa kafananishwa na Beyonce vile. Akasema oooh " jamani NI kweli watu wengi wananiambiaga hivyo.we sijui mtu wa ngapi unaniambia hivyo.
Mimi : nikajiongeza nikaanza kumpa vyeti. U can't believe Yule dada aliachana na safari ALIYO kuwa anaenda akanifuata mpaka ghetto na akawa demu wangu simply kwa sababu ALIPENDEZWA Sana na maneno yangu kwamba namfananisha na Halima Hussein. So I was furking kivuli cha Halima Hussein.
Mind you, dada huyu hakuwa Malaya. By that time she was at form three na ni mtoto wa kishua .
mkuu hiyo ni imagination yake wala sio uhalisia"she is the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth"
Dunia ina miaka bilioni 4 nukta 5, how old are you?
If u like make it Ten billions. But Halima Hussein ndio the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth"she is the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth"
Dunia ina miaka bilioni 4 nukta 5, how old are you?
Kwa sababu anastahili kufokewaMbna unamfokea?...[emoji85]
Okeymtu mwenye wivu hubwata anapoona situation za vile kwa mwenza wake ndo maana nikasema kule juu ni wivu mkuu.
nasubiriYes itaendelea
Clearly, she is the woman of your dreams.[emoji28]If u like make it Ten billions. But Halima Hussein ndio the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth
Tangu lini wasukuma mkawa na wivuUtumbo
Uwii nani msukuma?Tangu lini wasukuma mkawa na wivu
Niliwahi kuandika Uzi kuhusu kisa hiki.
In case hukupata bahati ya kusoma uzi huo then let me refresh ur memory.
Ni hivi nilifahamiana na Halima Hussein in 1995. I was 10 and she was 9. I was @ Std 4 & she was @ std 3.
Nilipo muona Halima Hussein kwa Mara ya kwanza, macho yangu yalipendezwa na yalicho kiona.
If your eyes would be blessed to see the vision of Halima Hussein, u would consider the likes of Beyonce, Cleopatra & co as a child play.
Only a fool can forget the way she looks like when she smiles.
Her beautiful smile should be prescribed by Medical Doctors for general happiness.
For my personal opinion, she is the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth. Fvck Cleopatra, fvck Beyonce. Get down with Halima Hussein.
And if u get down with Cleopatra & co then fbxk u2 in Swahili.
The only person who should disagree with the sentence that Halima Hussein is not the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth must be the one who argue that it is an understatement to state that Halima Hussein is the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth, rather it ought to be stated that Halima Hussein is the most beautiful creature among all God's creation.
If Halima Hussein is not the most beautiful creature of God then Lord what will I do?
Kama Halima Hussein angezaliwa Uyunani( Ugiriki ya Kale), Rumi ya Kale au Mesopotamia ya Kale basi wafalme wangepitisha a decree to declare Halima Hussein as a Goddess na kwamba awe ana abudiwa kwa sababu uzuri wa dada huyu sio wa dunia hii.
Kama ninge ambiwa nimbatize Halima Hussein ningemwita jina Beyonce, for the name Beyonce means " BEYOND OTHERS".
Without a doubt Halima Hussein's beauty is Beyond Others.
If some one is telling a love story about a beautiful woman and he is not talking about Halima Hussein I will never bother listening..
I reitarate ,For my personal opinion Halima Hussein is the most beautiful woman to ever walk on the planet Earth. She is the second to none.
Don't you ever dare tell me that there is any other woman any where whose beauty can match Halima's beauty.
Uzuri wa Halima Hussein ulini push nifanye kosa moja kubwa Sana katika familia yetu.
Nilijihamisha kutoka kwenye madrassa niliyo kuwa na attend pale Mkunguni na....... kwa Ustaadh Rama na kwenda kwenye madrassa ambayo Halima alikuwa ana attend. I just wanted to be feeding my eyes. I just wanted to guarantee my eyes with a constant beautiful vision.
Rafiki yangu mmoja aliniambia Halima haongeagi na strangers .So ukitaka Halima awe anaongea na wewe basi uwe unasoma kwenye madrassa Yao ( remember I was only ten here)
Nikasema kwani kuhama madrassa sh ngapi?
# Halima Hussein is calling, let me attend to her call Nita kuja kumalizia story baadae.
Mkuu wewe apoUwii nani msukuma?