Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,660
- 2,932
Hizo connection zimekuwa adimu sana....Ndio maana Niko zangu chakuhawata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo connection zimekuwa adimu sana....Ndio maana Niko zangu chakuhawata
Zipi?Chama cha kutetea haki za walimu
Hii namna ya kuelezea hasira zako inasisimua sanaCHAMA CHA WENDAWAZIMU WA TANZANIA (C W T).
Mpe Hongera sana na mwambie kwamba anasalimiwa na JKT mate wake Bulombora Operation Vyama Vingi. Yeye alikuja Bulombora baada ya kupigwa bogi kutokea Msange JKT Tabora
Sisi ilikua ni MIAKA 10 baada ya wewe kuondoka pale. Sisi tulikuwa na Colonel Mwankenja na Major Mzena. D-coy tulikuwa na Capt Ndilahomba, mwenyeji wa huko huko Kigoma. Baadaye nilikuja kuhamia Batallion nikahamia ziwani KARIBU na migebuka.Dah! Nilikuwa 821 KJ Bulombora, Operation Kujihami, Gangwe Coy 1982-1983. Hanga lile kubwa tulijenga wenyewe! Mchakamchaka usiku usiku hadi Mwakizega! Mkuu wa Kikosi Lt Colonel Sandi Ligati, Msaidizi wake Major Lyanga! Umenikumbusha mbali sana Dada/Brother.