UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa

UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa

Kama munajua shida wanazozipata wafanyabiashara kwa TRA mungeufyata mdomo wenu lakini chuki zimewajaa katika vifua vyenu ndio maana munatapika povu hapa.

Tanzania ni nchi ya bahati na ni tajiri lakini inashindwa kutumia fursa zake ,imepakana na nchi kama 5 lakini wapiiii kwenye miti hakuna wajenzi leo Tanzania ingekuwa ndio kitovu cha biashara katika nchi zote za jirani lakini tuna viongozi vilaza hawana VISION.

Leo TRA wanashindwa kutafuta mbinu mpya za kutafuta kodi au kuwa na systerm ya uhakika wanapigana vikumbo kwa vibox vya wafanyabishara wkt vishalipiwa kodi comon shame on you TRA.Wake up tuko karne ya 21 .
 
Wanajikuta wakina nani hao nao, wamemtaka Rais kamuagiza Waziri Mkuu wake na waliambiwa jumatano (kesho) watakaa kikao na Waziri Mkuu bado wanakaidi, acha waendelee kufunga siku wakiamua watafungua.
Wao wanamtaka Rais, kwani ubaya Nini. Hao ndio wenyenchi wasikilizwe.
 
Hili huenda ni sahihi, niliona sura zao wale jamaa nikahisi huenda PM alidanganywa ndiyo maana wakatoa Mkeka wa Kumhamisha Mkuu wa mKoa Usiku Mnene
Hata Kwa akili za akili za kawaida mtu mwenye store 5++ akae pale msimbazi Polisi anampigia makofi Amos Makala
 
Wananchi washajua porojo za wanasiHasa,kilichobaki Kuna mtu namuona(hasa kinara wa mgomo) anapelekwa mabwepande kung'olewa kuchraaa.
Hajulikani maana viongozi wamesema wanafungua ila maduka yao hayajafunguliwa
 
Hata Kwa akili za akili za kawaida mtu mwenye store 5++ akae pale msimbazi Polisi anampigia makofi Amos Makala
Hahaha.................ila Nchi yetu ngumu sana kwa kweli, Siasa zimejaa kila mahali.

Kwani kulikuwa na ulazima gani wa kufanya mkutano na Wafanyabiashara wasio sahihi?
 
Mbona hao Wafanya biashara Jana walimkubalia Mhe. Waziri Mkuu na kuhaidi kusitisha mgomo wao.

Au ndiyo kusema Jana waliogopa yale mabinduki hivyo kujikuta wamekubali.

Au kuna nguvu nyuma yao inayowashinikiza kuendelea na Mgomo. Maana 2025 ni mwaka Keshokutwa tu [emoji848]

Mkuu kwa mfano ungekuwa ww ndio kiongiz wa soko umepewa maik mbele ya wale mabwana pale wanakutazama kwa uchu vile ungesema hatufungui ? Mzee wa watu Yule Ana familia inamtegemea
 
Mkuu kwa mfano ungekuwa ww ndio kiongiz wa soko umepewa maik mbele ya wale mabwana pale wanakutazama kwa uchu vile ungesema hatufungui ? Mzee wa watu Yule
Ana familia inamtegemea
Hahahaha............Nchi ngumu sana hii Mkuu.

PM; kesho mtafungua biashara

Kiongozi wa Wafanyabiashara; Ndiyo Mheshimiwa.

Jioni Walipokutana Wafanyabiashara wenyewe; Msimamo wetu ni Ule ule, hakuna kufungua Maduka kesho 😅🙌🙌
 
Ila wasisahau wamiliki wa fremu baadae watahitaji rent zao.
 
Hv hapo hasara ni kwa nan mfanya biashara au mwananchi wa kawaida
 
Ili iwalazimishe kuuza mali zao wenyewe? Au hizo bidhaa zinaozouzwa hapo Kariakoo ni mali ya seriakali kiasi kwamba inaweza kuwaamuru kuuza hata kama wao hawataki?

Kwa hoja hiyo hata leseni hawatakiwi kukata maana ni mali zao wenyewe si za Serikali.
 
Kwa hoja hiyo hata leseni hawatakiwi kukata maana ni mali zao wenyewe si za Serikali.

Kwahiyo kila aliyefunga duka leo akamatwe?

Kwamba mfanya biashara hana haki ya kufunga biashara yake ili apate nafasi ya kufanya vitu vingine ndani ya muda fulani, ndio leseni zinadai hivyo?
 
Kodi ipo kwa mujibu wa sheria za nchi zilizopitishwa na bunge na watendaji wanafuata kanuni miongozo na taratibu zinazotungwa na kupitishwa na Serikali, kuwalaumu na kuwashutumu si sawa hata kidogo!

Hata hivyo kama leo Serikali itaendekeza mgomo huu na kuwakubalia matakwa yao wafanyabiashara hasa wa Kariakoo ambao wengi wao wanauza mali zilizopatikana kinyume na utaratibu wa kikodi basi Serikali ifute TRA na kusiwepo kodi yoyote nchini, pili kama kodi itakuwepo basi wafanyabiashara ndio wajikadilie na kuamua kiasi gani watalipa au wasilipe kabisa.

Wakati huohuo tuwe tayari kukubaliana na upinzani kwa kila wizara na idara maana leo ni mgomo wa kupinga TRA kesho tutapinga Polisi, keshokutwa sheria za mazingira, uhamiaji, hifadhi, afya nk nk.

Rais kama utakubaliana na mtindo huu wa kila mwenye takwa lake lipite hata kama linakiuka sheria tambua malengo yako ya kuendesha nchi yatakwama.
 
Mbona hao Wafanya biashara Jana walimkubalia Mhe. Waziri Mkuu na kuhaidi kusitisha mgomo wao.

Au ndiyo kusema Jana waliogopa yale mabinduki hivyo kujikuta wamekubali.

Au kuna nguvu nyuma yao inayowashinikiza kuendelea na Mgomo. Maana 2025 ni mwaka Keshokutwa tu [emoji848]
Bunduki zingewafanya nini?
 
Serikali ikamate viongozi wa mgomo na mechi itaisha wanaona Rais ni mpole Wana mchezea
Kwa hali ya kuwa Tanzania na watu kama wewe tutashindwa kubadilika. Serikali jukumu lake ni kuongoza na sio sio kuwa wababe na kulazimisha kila kitu wanachoona wao ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom