mmmh! jamani pole sana sana mtoto Aneth, Eeee Mungu wangu, huyu mtoto anaiuma sana manake she is me uwiiiiiiiii, yaani kaja uukosa mkono kwa uchomwa moto??? sijui adhabu anayostahili huyo mama kiukweli.
kwahuyu mtoto kwann madaktari wamekimbilia kumkata mkono?? it was possible kwa huu mkono kutengemaa endapo wangechukua uamuzi wa kumpeleka MOI naamin hayo manake nilishawah kushuhudia mtu alokuwa akatwe mguu Dodoma, akaomba aletwe MOI akapona kabisa.... kuondo akiungo cha mgonjwa jamani ni hatua ya juu sana, istoshe nyama za mwili huwa zinaota anyway inawezekana tu nimeongea kama layman bila basic principles mnisamehe.