Update: Naomba Neno Moja tu la Kingereza Ambalo Halina Tafsiri Rasmi ya Kiswahili.

Update: Naomba Neno Moja tu la Kingereza Ambalo Halina Tafsiri Rasmi ya Kiswahili.

Tatu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2006
Posts
1,143
Reaction score
372
Kama kichwa cha Habari kinavyosema, zaidi ya wiki sasa imepita toka nilete hii changamoto iliyopo katika lugha yetu ya Kiswahili.



Nashukuru kwa wale wote waliochangia na pia imedhihirisha wazi kwamba changamoto hii ipo.

Kwa muda sasa binafsi nimekuwa nikifanyia kazi changamoto hii. Nilifikiria namna ya kuwezesha jamii kushiriki kutoa mawazo yao katika kutafsiri maneno ya Kingereza ambayo hayana tafsiri rasmi ya Kiswahili.

Nilifikiria njia mbalimbali za kutatua hii changamoto. Mwisho wa siku, technology imekuwa ndio jibu sahihi na rafiki ambayo inaweza kutatua hii changamoto. Kwa jinsi mabadiliko na matumizi ya Tehama yanavyoongezeka, nafikiri njia hii itakuwa rahisi zaidi kufikia jamii kubwa.

Kwa maana hiyo, nimetengeneza application ya simu ya mkononi ambayo unaweza kupakua kutoka Google Play Store. Ni dhahiri kwamba application hii ni kwa wale wanaotumia simu za Android pekee. Jinsi mwitikio utakavyokua, watumiaji wa iOS itabidi wasubiri kwa sasa.

Application inapatikana katika link hapa chini.

Bahati nzuri pia, wiki iliyopita nimesikia kwenye taarifa ya habari kwamba Tanzania na Kenya wameweza kufanikisha muswada wao Umoja wa Mataifa, UN, wa kutambua July 7, kuwa siku ya Kiswahili duniani kote. Pia, habari hiyo imesema Kiswahili kinatumika katika nchi zaidi ya 100 duniani.

Kwa maana hiyo tuna kazi ya kufanya.
 
Kama kichwa cha Habari kinavyosema, zaidi ya wiki sasa imepita toka nilete hii changamoto iliyopo katika lugha yetu ya Kiswahili.



Nashukuru kwa wale wote waliochangia na pia imedhihirisha wazi kwamba changamoto hii ipo.

Kwa muda sasa binafsi nimekuwa nikifanyia kazi changamoto hii. Nilifikiria namna ya kuwezesha jamii kushiriki kutoa mawazo yao katika kutafsiri maneno ya Kingereza ambayo hayana tafsiri rasmi ya Kiswahili.

Nilifikiria njia mbalimbali za kutatua hii changamoto. Mwisho wa siku, technology imekuwa ndio jibu sahihi na rafiki ambayo inaweza kutatua hii changamoto. Kwa jinsi mabadiliko na matumizi ya Tehama yanavyoongezeka, nafikiri njia hii itakuwa rahisi zaidi kufikia jamii kubwa.

Kwa maana hiyo, nimetengeneza application ya simu ya mkononi ambayo unaweza kupakua kutoka Google Play Store. Ni dhahiri kwamba application hii ni kwa wale wanaotumia simu za Android pekee. Jinsi mwitikio utakavyokua, watumiaji wa iOS itabidi wasubiri kwa sasa.

Application inapatikana katika link hapa chini.

Bahati nzuri pia, wiki iliyopita nimesikia kwenye taarifa ya habari kwamba Tanzania na Kenya wameweza kufanikisha muswada wao Umoja wa Mataifa, UN, wa kutambua July 7, kuwa siku ya Kiswahili duniani kote. Pia, habari hiyo imesema Kiswahili kinatumika katika nchi zaidi ya 100 duniani.

Kwa maana hiyo tuna kazi ya kufanya.
Maneno hayo uliyoyaweka mengi sana siyo ya Kingereza.

"Maintanance" Kiswahili chake ni nini?
 
Halafu Kiswahili kwa Kiingereza siyo Kiswahili bali Swahili.

Kifaransa - French
Kiingereza - English
Kibantu - Bantu
Kichagga - Chagga
Kiitaliano - Italian
Kiswahili - Swahili

Ukiangalia vizuri, kote kitamkwa ama kiambishi ki hakiko kwenye lugha ya Kiingereza.

Hii ni kwa vile yenyewe hubeba dhana ya ^lugha.^

Ni sawa na namna ambavyo England hubadilika kuwa English (ish), France - French (ench), Portugal - Portuguese (uese), Italy - Italian (ian).

Kuitamka lugha hii kwamba ni Kiswahili katika lugha ya Kiingereza ni sawa na kufanya utamshi wa Kiingereza kwa lugha ya Kiswahili.

Kama ambavyo ni makosa kusema: najifunza English, ni makosa vilevile kusema: I'm learning Kiswahili.

Sahihi: najifunza Kiingereza; I'm learning Swahili.
 
Halafu Kiswahili kwa Kiingereza siyo Kiswahili bali Swahili.

Kifaransa - French
Kiingereza - English
Kibantu - Bantu
Kichagga - Chagga
Kiitaliano - Italian
Kiswahili - Swahili

Ukiangalia vizuri, kote kitamkwa ama kiambishi ki hakiko kwenye lugha ya Kiingereza.

Hii ni kwa vile yenyewe hubeba dhana ya ^lugha.^

Ni sawa na namna ambavyo England hubadilika kuwa English (ish), France - French (ench), Portugal - Portuguese (uese), Italy - Italian (ian).

Kuitamka lugha hii kwamba ni Kiswahili katika lugha ya Kiingereza ni sawa na kufanya utamshi wa Kiingereza kwa lugha ya Kiswahili.

Kama ambavyo ni makosa kusema: najifunza English, ni makosa vilevile kusema: I'm learning Kiswahili.

Sahihi: najifunza Kiingereza; I'm learning Swahili.
Hi nimeiona hata kule kwenye kihispaniola Tanzania wanaita Tanzano English wanaita Ingles mtawalia
 
Halafu Kiswahili kwa Kiingereza siyo Kiswahili bali Swahili.

Kifaransa - French
Kiingereza - English
Kibantu - Bantu
Kichagga - Chagga
Kiitaliano - Italian
Kiswahili - Swahili

Ukiangalia vizuri, kote kitamkwa ama kiambishi ki hakiko kwenye lugha ya Kiingereza.

Hii ni kwa vile yenyewe hubeba dhana ya ^lugha.^

Ni sawa na namna ambavyo England hubadilika kuwa English (ish), France - French (ench), Portugal - Portuguese (uese), Italy - Italian (ian).

Kuitamka lugha hii kwamba ni Kiswahili katika lugha ya Kiingereza ni sawa na kufanya utamshi wa Kiingereza kwa lugha ya Kiswahili.

Kama ambavyo ni makosa kusema: najifunza English, ni makosa vilevile kusema: I'm learning Kiswahili.

Sahihi: najifunza Kiingereza; I'm learning Swahili.
Yote hayana. kiswahili ni lugha tamu na pana sana kwa ajili ya Kiarabu.

Nawashangaa wanaojitahidi kukiharibu kwa juhudi kubwa na kukiingiza maneno ya kiajabu ajabu, hayajulikani wanakoyatowa wakati Kiswahili kina maneno yote hayo wanayoyaita "sanifu" katika Kiarabu chake na lafdhi zake tamu sana.
 
Back
Top Bottom