Achraf hakim
Senior Member
- Apr 15, 2023
- 106
- 291
Tuliosomea University Of Havana Cuba, tumeelewa lengo la haya matukio ni kutujulisha huna mwanaume na unatamani upate wa kukaa nae.
Kama ni nyoka hapo hakuna nyoka...
Sipati picha waliosomea University of Kandahar Afghanistan 🤣Tuliosomea University Of Havana Cuba, tumeelewa lengo la haya matukio ni kutujulisha huna mwanaume na unatamani upate wa kukaa nae.
Kama ni nyoka hapo hakuna nyoka...
Yes ni ka jasiri namshukuru MunguNicheki PM next time iwe rahisi zaidi kukuokoa on serious note.
I like the boy's spirit. You raise no fool. His bravery is unspeakable, ukinganisha na umri wake. Safi!
Next time don't deny his bravery showcased!
Mpe dogo points zake Yes alishaua joka kwa bibi yake.😂 wakishua bhana
Hatimae juniour aua joka
Sio jongoo.Ni kinyokahuyo mbona ni kama jongoo?
Anajiamini na ndivyo inavyopaswa kwa mtoto wa kiume.Mpe dogo points zake Yes alishaua joka kwa bibi yake.
Halafu sisi sio wakishua wanangu wanakua kibush style hujawahi ona
Huyo mwanaume ntampataje sasa na PM nimeifunga?Tuliosomea University Of Havana Cuba, tumeelewa lengo la haya matukio ni kutujulisha huna mwanaume na unatamani upate wa kukaa nae.
Kama ni nyoka hapo hakuna nyoka...
😀😀😀🤣🤣Pole, kuna jirani yangu yeye akiniona tandu usiku asubuhi kakimbiza familia wakaja watu kumfanyia usafi walichokuta ni tandu wa zamani aliyekufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
He is very brave mkuu.You have got a brave young man. At his age he need a father to direct him. Make sure he is able to see his father as often as possible as it seems you are raising them alone.
Usijeshangaa nimekuzid ugumu mkuu😀 na kuogopa nyoka sio ushua.Hata wewe kuna kitu chako unaogopaUshua mwingi huyoo, naweza mzabua makofi.. huyo anawza kimbia mende..
AsanteAnajiamini na ndivyo inavyopaswa kwa mtoto wa kiume.
Hongera kwa pacha
Atakuwa baharia mzoefuHuyu mama twins uandishi wake atakua ni last born.....
Daddy twins yupo wapi mbona unalala peke ako?
Nimecheka kweli[emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]
Mbona mimi naona mnyooo tu hapo au?
Worms 🪱 pia unaogopa mwanangu
Kweli wanaume tumeumbwa kuwachunga
Fuga paka atakusaidia kupambana na vijokaAsante