Update za kazi za TASAF

Update za kazi za TASAF

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Habarini want bodi, ninaomba msaada kwa anayejua kinachoendelea juu ya ajira zilizotangazwa na TASAF ukizingatia leo ni wiki imeshapita toka deadline na walisema baada ya wiki mbili mchezo utakua umeisha sasa naomba tufahamiane mapema pliz Kujua status na mchakato unaendaje
 
Kazi yoyote ya mashirika ya serikali au kupitia ajira portal usiombe kama huna refa au connection maana saivi nafasi zinatoka chache wahitaji ni wengi, matangazo yanatolewa kufuata utaratibu wa kuajiri lakin watu wameshaajiria nyuma na kuanza kazi nyie mnafanya maombi ya kuchaguliwa na kujipanga na interview.
 
Hahahahahaha!kweli kazi kazi..yaani watu wapo wanasubili interview ila wengine washaaanza kazi KBS.
wameanza kazi tangu jumatatu ndugu, nina mdogo wangu ametoka kazini muda sio mrefu, wanatoka saa kumi kamili jioni
 
Kazi zimejaa kujuana
Mimi niliomba connection kwa mtu fulani kigogo najuana naye akanivungia basi hata sikuomba hizo nafasi kwani nilishajua mapema sintotoka bila ya connection
 
Mimi niliomba connection kwa mtu fulani kigogo najuana naye akanivungia basi hata sikuomba hizo nafasi kwani nilishajua mapema sintotoka bila ya connection
Na hazipitii utumishi, labda zingekuwa zinapitia utumishi pengine mambo yangekuwa na afadhali.
 
Back
Top Bottom