Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

Nel
Sijui

Sijui una maanisha ni kusema serikali haikujenga vyuo usukumani kwani morogoro vyuo walijengewa waluguru? Na dar walijengewa wazaramo?? Poor argument. Alaf Arusha Sijui chuo gani serikali iliwahi jenga labda ufafanue mimi natoka Arusha nafikir Arusha hamna chuo kikuu cha serikali hadi
Bro, uwepo wa vyuo vikuu huongeza mzunguko wa pesa katika eneo husika kwa sababu ya uwepo wa watu wengi, so purchasing power ya watu huongezeka kwa mantiki hyo wenyeji wa eneo husika watauza sana bidhaa zao. Kumbuka Dsm na Dom vyuo vikifunga TU biashara huwa ni ngumu
 
Nel

Bro, uwepo wa vyuo vikuu huongeza mzunguko wa pesa katika eneo husika kwa sababu ya uwepo wa watu wengi, so purchasing power ya watu huongezeka kwa mantiki hyo wenyeji wa eneo husika watauza sana bidhaa zao. Kumbuka Dsm na Dom vyuo vikifunga TU biashara huwa ni ngumu
Arusha Kuna vyuo kama vinne hivi.ESAM, UHASIBU, NELSON MANDELA NA TIA ARUSHA.
 
Takwimu hizi ni za zamani sana, kwa sasa hakuna kabila lisilojua umuhimu wa elimu hizo shule unazosema wilaya nyingine zipo hadi vijijini yaani kama tunavyoona umeme na rami vimefika hadi mashambani kabsa.
 
Mkuu umeandika mengi kwanza hamna watu wenye privilege ya kuwa na akili isopokuwa determination ya kutafuta. Kuhusu wasukuma kuwa wengi dadasani ni uongo nakumbuka kwenye kozi yetu UDSM
wahaya
Wachaga
Wanyakyusa
Walikuwa 70 au80% tuliobaki tunahesabika i assume kwenye kozi zingine hali ni hii hii hamna shule au chup wasukuma waliwah kuwa majority
Kwa sasa vyuo vingi hasa course za Engeneering,udaktari na Education Wasukuma ni wengi! Mfano hata DIT au UDSM wasukuma ni wengi sana nadhani kuzidi hata wao Wachaga na Wahaya hii ni kutokana na wengi wao kitaifa na wingi wa mikoa wanayotoka pia!
 
Takwimu hizi ni za zamani sana, kwa sasa hakuna kabila lisilojua umuhimu wa elimu hizo shule unazosema wilaya nyingine zipo hadi vijijini yaani kama tunavyoona umeme na rami vimefika hadi mashambani kabsa.
Kanda ya ziwa bado inaongoza
 
Kanda ya ziwa bado inaongoza
Thread haijazumngunzia kwa ukanda usijifiche kwenye ukanda

na hata hivyo kwa percentage wise ya wasomi kulingana na idadi
ya watu waliopo kwenye kanda husika Kanda ya Kaskazini itaongoza ikifuatiwa
na Nyanda za juu kusini.
 
Kwa sasa vyuo vingi hasa course za Engeneering,udaktari na Education Wasukuma ni wengi! Mfano hata DIT au UDSM wasukuma ni wengi sana nadhani kuzidi hata wao Wachaga na Wahaya hii ni kutokana na wengi wao kitaifa na wingi wa mikoa wanayotoka pia!
Wasukuma ni wengi by numbers not promotion. Unategemea Wasukuma wawe sawa darasani na waluguru?
Kama Wasukuma wanafika m8 na waluguru m1!!
 
Back
Top Bottom