Mgaratia Wa bongo
Member
- Oct 4, 2020
- 72
- 76
Bro, uwepo wa vyuo vikuu huongeza mzunguko wa pesa katika eneo husika kwa sababu ya uwepo wa watu wengi, so purchasing power ya watu huongezeka kwa mantiki hyo wenyeji wa eneo husika watauza sana bidhaa zao. Kumbuka Dsm na Dom vyuo vikifunga TU biashara huwa ni ngumuSijui
Sijui una maanisha ni kusema serikali haikujenga vyuo usukumani kwani morogoro vyuo walijengewa waluguru? Na dar walijengewa wazaramo?? Poor argument. Alaf Arusha Sijui chuo gani serikali iliwahi jenga labda ufafanue mimi natoka Arusha nafikir Arusha hamna chuo kikuu cha serikali hadi
Arusha Kuna vyuo kama vinne hivi.ESAM, UHASIBU, NELSON MANDELA NA TIA ARUSHA.Nel
Bro, uwepo wa vyuo vikuu huongeza mzunguko wa pesa katika eneo husika kwa sababu ya uwepo wa watu wengi, so purchasing power ya watu huongezeka kwa mantiki hyo wenyeji wa eneo husika watauza sana bidhaa zao. Kumbuka Dsm na Dom vyuo vikifunga TU biashara huwa ni ngumu
Serikali gani iliyowawezesha?kwa msaada wa kuwezeshwa mapema na serikali.
Kwa sasa vyuo vingi hasa course za Engeneering,udaktari na Education Wasukuma ni wengi! Mfano hata DIT au UDSM wasukuma ni wengi sana nadhani kuzidi hata wao Wachaga na Wahaya hii ni kutokana na wengi wao kitaifa na wingi wa mikoa wanayotoka pia!Mkuu umeandika mengi kwanza hamna watu wenye privilege ya kuwa na akili isopokuwa determination ya kutafuta. Kuhusu wasukuma kuwa wengi dadasani ni uongo nakumbuka kwenye kozi yetu UDSM
wahaya
Wachaga
Wanyakyusa
Walikuwa 70 au80% tuliobaki tunahesabika i assume kwenye kozi zingine hali ni hii hii hamna shule au chup wasukuma waliwah kuwa majority
Kanda ya ziwa bado inaongozaTakwimu hizi ni za zamani sana, kwa sasa hakuna kabila lisilojua umuhimu wa elimu hizo shule unazosema wilaya nyingine zipo hadi vijijini yaani kama tunavyoona umeme na rami vimefika hadi mashambani kabsa.
Thread haijazumngunzia kwa ukanda usijifiche kwenye ukandaKanda ya ziwa bado inaongoza
Wasukuma ni wengi by numbers not promotion. Unategemea Wasukuma wawe sawa darasani na waluguru?Kwa sasa vyuo vingi hasa course za Engeneering,udaktari na Education Wasukuma ni wengi! Mfano hata DIT au UDSM wasukuma ni wengi sana nadhani kuzidi hata wao Wachaga na Wahaya hii ni kutokana na wengi wao kitaifa na wingi wa mikoa wanayotoka pia!