updates interview ya tarehe 8 duce

updates interview ya tarehe 8 duce

didii

Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
74
Reaction score
5
Kwa mwenye updates za interview ya tarehe nane duce, matokeo ya written na tarehe ya oral naomba kujuzwa tafadhali!
 
Kwa mwenye updates za interview ya tarehe nane duce, matokeo ya written na tarehe ya oral naomba kujuzwa tafadhali!

yan kila nkijaribu kuingia kwenye site ya www.ajira.go.tz nakutana na huu ujumbe Database Error: Unable to connect to the database:Could not connect to MySQL
 
Tangu jana inasumbua website yao,inabidi niwaendee huko huko nipate feedback za uhakika
 
hahahahahahahaha jamani hebu tulieni mliambiwa watatoa namba zenu za mitihani leo bna leo inaisha saa sita usiku,shida nini?ndo mana mnakosaga kazi kwasababu ya presha.
 
Watakuwa wanaingiza data.ila kwa watakaochaguliwa nadhani oral ni kesho.
 
Tangu jana inasumbua website yao,inabidi niwaendee huko huko nipate feedback za uhakika

hebu tusubiri nadhan kufikia kesho ndo tunaweza kwenda huko huko? c unajua mambo ya serikali yapo slow sana....watu wanafanya taratibu wapate per DM nyingi mama
 
Sio hivyo, hiyo database unatakiwa uwe na mtandao wenye kasi kubwa....hiyo msg iko siku zote tu
 
Sio hivyo, hiyo database unatakiwa uwe na mtandao wenye kasi kubwa....hiyo msg iko siku zote tu

inaelekea huna knowledge ya IT kabisaa mkuuu..natumia modem na navinjari kwenye HSDPA while Uplink na downlink ni iko poa kabisaa kiasi kwamba i can even watch movie on line....sasa haka ka website hata video hakuna there are just photos uniambie natakiwa niwe na internet yenye kasi ya kubwa? what is kasi ya kubwa...we know mambo ya serikali ndo yalivyo slow slow tuuuu ilimradi liende
 
hebu tusubiri nadhan kufikia kesho ndo tunaweza kwenda huko huko? c unajua mambo ya serikali yapo slow sana....watu wanafanya taratibu wapate per DM nyingi mama

tatizo nimetoka mbali mkoani,gharama za kuishi mjini zinaumiza sana
 
hahahahahahahaha jamani hebu tulieni mliambiwa watatoa namba zenu za mitihani leo bna leo inaisha saa sita usiku,shida nini?ndo mana mnakosaga kazi kwasababu ya presha.

Nilikuona ulivyokuwa unaandika majibu pale lecture room E.......!
 
Walitoa majina Jana kwenye site yao usiku mida ya saa 5 hivi. Watu wamepiga oral Leo asubuhi. Si unajua utumishi wazee wa kimyakimya
 
Acha ukuda!naona unajipa U-dj kuscratch future za watu!usitanie maisha ya wenzio ati kisa weye hauna shida!
Walitoa majina Jana kwenye site yao usiku mida ya saa 5 hivi. Watu wamepiga oral Leo asubuhi. Si unajua utumishi wazee wa kimyakimya
 
Acha ukuda!naona unajipa U-dj kuscratch future za watu!usitanie maisha ya wenzio ati kisa weye hauna shida!

Huyo Nyaubwii ataua watu huyo! hata asiwatishe wala nini interview bado ila cha msingi tuendeleeni kufuatilia kwa ukaribu sana
 
Back
Top Bottom