Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Jana kule Arusha umati wa wanachi ulishuhudia mtu ambaye alitajwa kuwa swahiba mkubwa wa 'first family'' naye akitoroka. Ni LM aliyewahi kuwa waziri katika serekali ya JK, ambaye katika uchaguzi uliopita alipoteza ubunge wa jimbo la Nyamagana. Lakini wadadisi wa mambo wanajiuliza.............ni kwanini hakutangaza uamuzi wake huo akiwa Jijini Mwanza. Ilibaki siku moja tu kufanyika mkutano wa Mwanza. Mwanza ndiyo nyumbani kwa Masha, pia ndiko kwenye ngome yake ya kisiasa. Sababu ni nini!!!!!
 
Hakuna lolote huyo jambazi hawezi kuwa rais. You will come and tell me, I am old enough to know that EL will never govern this country whether you like it or not.
Dah, watu mnaona mbali!
 
Back
Top Bottom