Updates Kutoka kwenye show kali ya LOVE, MELODIES and LIGHTS.

Updates Kutoka kwenye show kali ya LOVE, MELODIES and LIGHTS.

Yote hii ni kutolewa povu na EFM
Hakuna siku efm wameweka shoo na hawa jamaa wasiweke
EFM Leo wamejaza vibaya sana huko Mwembe yanga. Yaani funika mbovu kabisa
 
7a769d3e9e279b61be863a22f28d3507.jpg


Mheshimiwa waziri ndani ya nyumba.

Jamani busara itumike kulinda brand za watu.[emoji23]
 
Habarini za wikiend wadau.

Kama mnavyojua tena leo ndio ule usiku mubashara usiku wa shoo kali ya kiaina yake na ya kipekee shoo ya karne. LOVE, MELODIES and LIGHTS

Kwa wale wa mjini mnaosikiliza hii redio ya Wafu aaah sory, i mean redio ya Watu clouds FM. Mtakuwa mnajua kuwa leo mkali Ben pol, jux na Baraka da prince watakuwa jukwaa moja wakisindikiza usiku huu wa kipekee kabisa.

Katika shoo hii ambayo kulikuwa na kiingilio mpaka milioni na zaidi lakini ticket ziliwahi kuisha sio mchezo kabisa.

Mwenye updates za huko tafadhali mambo yanavyoenda atuambie. Mambo yamenoga au hayajanoga? Maana clouds ni mabingwa wa kupiga promo halafu unakuja kukuta ni upuuzi tu. Kama ilivyokuwaga Fiesta.

Pia sipatii picha hawa akina Ben Pol maskini watakavyokuwa wamenyonywa kwenye malipo ukilinganisha na faida itakayokuwa imepatikana.

Picha za eneo la tukio kwa hisani ya clouds ni kama zifatazo. Jinsi mambo yatakavyokuwa kwenye maturubai hayo.

80563f83805b84920239b3d2c896a846.jpg


b572f82e508936685bc2840d11b51f8c.jpg


Huo ndio muonekano wa ndani mambo ya Lights hayo


4681de7c823a67dbca6c913eb883aab7.jpg


272990ea2a434e974cbaf6b73bc9a89c.jpg

Hii ndio Red Carpet ya kimataifa. According to wao..



SASA JAMANI ALIYEKO HUKO ATUPE UPDATES TAFADHALI...

UPDATES PLEASE..

Sasa hapo ndipo RC Makonda na ACP Sirro wanatakiwa ' wakite ' Kambi kwani wanaweza kutoka na majina ya ' kutosha ' tu ya ' Watumiaji ' na ' Wasafirishaji ' wakuu wa ' Sembe ' inayolevya kuliko hayo yaliyobaki katika hizo phases zao 4,5,6 na 7.
 
e39d99c3c74986001b9464f21eeeab04.jpg


Mchonvu Baba la baba So so fresh . Baba jonii nae ndani ya nyumba
 
Yaani hapo sijui ata wanapendea nini. Au ndo promo ya mawingu radio.

Yaani kama mkatoliki hayupo hiyo sio show. Watu kama roma wakifanya show atakama unaumwa unaona tu gafla unacheka na makofi juu ha ha
 
Huu uzi umepoa spid yake unazidiwa na ule wa 40 ya Nillan au ndo mambo ya weekend?
 
Tatizo la wasanii wetu wanafikiri kuimba live ni kubadilisha tone na melody ya wimbo na hicho ndio hukera kwenye show live za kibongo....Niliona Ditto anaimba wimbo wake wa moyo sukuma damu kwakweli ni utumbo mtupu.
Umeongea fact moja kubwa sana
 
Back
Top Bottom