Updates: Mbowe na Lissu watikisa Njombe

vipi mkulu suruari inamshuka ......? mbona mkono uan taka kumuokoa .
 
Hzi picha za lini? Mbona mimi nimewakuta hapa Mafinga mda wa saa tisa na dk 50? Tena watu hawapo kabisa. Wana kandege kao kana Rangi ya CDM KWENYE LANGO LA KUINGILIA?
 
hizi chopa wangeuza wamuongeze slaa hela atoe mahali.


Alafu cost cutting wafanye vip, misafara ya V8 au mashanging?

kwanza high risk pili usumbufu kwa policcm

bora kupita angani yanini kusumbuana na polisisisiem!

miaka 50 uhuru chin ya ccm barabara ovyo kabisa.
 
Hzi picha za lini? Mbona mimi nimewakuta hapa Mafinga mda wa saa tisa na dk 50? Tena watu hawapo kabisa. Wana kandege kao kana Rangi ya CDM KWENYE LANGO LA KUINGILIA?


Kabla yahapo wewe ulikuwa wapi? na baada ya hapo umeelekea wapi na kwa usafirigani?

Usafiri wa chopa ni tofauti na Bajaji, kama unasafiri kwa bajaji wala usishangae mkuu wangu kwa chopa loh!
 
Mda si mrefu katoa stori ya Shigela akiwa Dodoma au alikuwa na usafiri wa ungo?
Kabla yahapo wewe ulikuwa wapi? na baada ya hapo umeelekea wapi na kwa usafirigani?

Usafiri wa chopa ni tofauti na Bajaji, kama unasafiri kwa bajaji wala usishangae mkuu wangu kwa chopa loh!
 
Mda si mrefu katoa stori ya Shigela akiwa Dodoma au alikuwa na usafiri wa ungo?


Mkuu hiyo nini? mi nazifahamu chop, sasa hicho nini au ccm kunataaluma nyingine ya usafiri hebu fafanua..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…