Ccm wanachukuwa jimbo iringa mjini. Chadema mujiandae kukabidhi mapema kabisa october siyo mbali najuwa wengi mtakimbia humu ndani
Kwani kwenye kura za maoni jana jumamosi CCM wamempitisha nani??.
Arumeru mashariki ni Ndg. John Danielson Pallangyo...
Nassari is out!!
unaota
Uwe unasoma vizuri na kuelewa. Amesema kati ya watu wake wa karibu. Hao uliowataja walikuwa karibu na Lowasa?Goodluck Ole Medeye Nae Ni Mkewe? James Lembeli Na Esta Bulaya Hao Wote Ni Wake Zake Lowasa? Hebu Ficha Ujinga Wako.