Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Shomy . Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!

Hata aje kikwete na jopo lake iringa mjini hawatobooi
 
Wanyakyusa wanagombea kuwaongoza wahehe! Wahehe mko wapi mnaachiaje eneo binge lenu kijinga jinga namna hii

Huyo mwakalebela aende aombe uongozi wa tff ndio utakao mfaa na mambo ya siasa za iringa awaachie cdm
 
2010 Msigwa alishinda cdm ina wenyeviti 3 wa serikali za mitaa sembuse leo wako 60 na ushee
 
Mwakalebela wako asidhani Iringa ni pale Ambiance Club Corner Bar anakojulikana na kila changudoa. Ingekua anagombea ubunge wa pale angepita bila kupingwa.

Kwanza Msigwa anashikilia record ya kutoa hotuba bora kabisa bungeni ambayo haijapata mpinzani mpaka leo
 
KARDASH;13497963]Wanyakyusa wanagombea kuwaongoza wahehe! Wahehe mko wapi mnaachiaje eneo binge lenu kijinga jinga namna hii[/QUOTE]

Acha ukabila kamanda
 
nani kakudanganya kwamba ccm imempitisha mwakalebela ? hata 2010 aliongoza kura za maoni lakini je alikuwa mgombea ?
 
Kushinda kura za maoni siyo kigezo cha kuwa mbunge October 25/2015 ipo kwa ajili yao hao maescrow
 

Kwa style hiyo anayoingilia kupitia rushwa Na kuongeza kura hewa ndo upendo wa wanairinga?
 
Mjye ni mzaliwa Wa iringa na nimesoma iringa Kwa hyo naijua iringa Kwa mud a mrefu sasa kingine so cha kujisifu nimeanza kushiriki siasa enzi za mrema manna mzee wangu alikuwa karibu naye kweli.Kwa hyo naongea nikiwa natafakuri kubwa Sana huwez sema mwakalebela atashinda iringa mjini hyo n ndoto za mchana kabsa maana wakat na majira yalishakwisha kupita saizi n mChungaji na wanna iringaa maana tumeona meng ambayo kafanya kama unaijua Barbara za mitaa kibao manispaa sasa n rami maji yamefika mpaka nduli karibu kabsa Kwa bwana lukuvi hivyo msigwa kafanya.Kubwa Kwa yote ameweza kubadilisha mtazamo Mkubwa Wa watu Wa iringaa so huyo afisa habar Wa za man mwambie akae ajipange na aende tu hukohuko wilayani waliko mteua maana we are tired of CCM aisee
 
Haha....mwakalebela ..kule TFF alishindwa leo anakuja kwetu ...anataka tumpe upngoz....huyu hafai kabisa ndo walio ua soka la bongo....
 
Mkuu matusi si sehemu ya maisha ya muungwana...sijaona ulazima wa kumtaja baba wa mtoa mada hapa...tujaribu kuwaheshimu wazazi wa wenzetu kama tunavyotaka waheshimiwe wazee wetu.....

Mkuu kumbuka huu ni mwaka wa maamuzi hivyo hayo ni mambo ya kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…