Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Nilikuwa Iringa wiki zima nimeondoka jana. Uchaguzi ungefanyika jana Msigwa angeshinda kwa zaidi ya 70% sasa sijui kwa miezi na siku zilizobakia na kampeni zitakazofanyika zinaweza kuathiri kiasi gani. Kwa ujumla kumwondoa Msigwa ni vigumu sana almost impossible.

Wewe hujui iringa,hivyo kaa kimya
 
Ningeshangaa pia kama wangeshindwa wakati wana Ccm bila rushwa hawakuchagui
 
Iringa Msigwa ndio kila kitu na hajawai tokea mbuge kama yeye kamwe n ndhani ccm watakuwa n busara na mapenzi mema na wanairinga wakiacha kusimamsha mgombea iringa ili jembe liendelee kufanya kazi ya wanairinga.

Kazi gani? Taja angalau moja tu
 
Hahaha CCM mmefanya kazi ya kuondoa yale mabango yaloandikwa MSIGWA TENA 2015 sasa wamekutuma uje na huku kujaribu upepo unaelekeaje!

Ule umati ulojitokeza kumpokea Msigwa toka bungeni uliwahi lini kukusanyika kwa huyo kiumbe wenu?

Panua fikra zako usipime upepo
 
msagatiherry huyo Abedi na siasa haijui maana yeye maslahi yapo mbele . ndio aliyoipotosha ccm 2010 kuwa monica mbega anakubalika kumbe ikawa kinyume so kwa taarifa yako safari hii CCM makao makuu wana watu wao kila jimbo hawadanganyike kwa kuwasikilza watu kama abeid ambayo ni mpotoshaji.

Abeid Kiponza ni chizi,alitu-cost sana ccm 2010
 
Last edited by a moderator:
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!

Yaani wewe akili zako naona ni mgando sana,toka mwaka 2010 huu ni mwaka 2015, mambo mengi yamefanyika kupitia kwa mchungaji msigwa na ameshajijenga sana
 
Ukonga bao la mkono tayari kura za Patel kapewa slaa, wakati matokeo yalishafahamika
 
Si wana zile hela za Escrow (hela za mboga) ndio maana wameshinda!
 
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!

Mchungaji msigwa kwa mbeya hana mshindani kabisa,ukijumlisha na jemedari lowasa! Poleni sana ccm
 
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!

wasilisha tu, hayo ni mawazo yako na si ya wana iringa.
 
Pia acha presure pia kumbuka nyie uko mkikosa mlicho tarajia hamchelewi kujining'iniza sasa tafadhali uwe makini mkuu maana naona kama vile unajisahau kuwa huu ni mwaka mwingine

Mwaka wenye mvua za mafuriko kwa kuwakumba wana ccm
 
Hakika, naomba mods kama itawezekana, uz huu ukae mpk baada ya 25.10 ili kuthibitisha maneno yangu.
Hii n kutokanana na ccm kumpitisha kipenz cha wanairinga FREDERICK MWAKALEBELA kuwa mgombea ubunge wa jimbo la iringa mjini. Ikumbukwe kuwa 2010 wanairinga walimchagua msigwa kulipa kisasi kwa ccm kwa "kumkata" Mwakalebela na si mapenzi ya msigwa na chadema. Ccm wamelisoma funzo la 2010 na wamewaletea wana iringa mjini mtu wao.
Nawasilisha!

Mch. Msigwa atashinda tu
 
Msingwa kwa iringa bila kustahafu kama mzee ndesa hamna wa kumtoa
Lakini ndoto zako za mchana sibishani nazo
Endelea kuishi kwa matumaini

Hata kuishi kwa matumaini siyo kwa msigwa,msigwa ni zaidi ya mbunge
 
Back
Top Bottom