Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Elections 2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

Kamwe ccm hawawezi kumpitisha Bashe kuwania Ubunge, Kama walikata jina lake Lowassa akiwa bado ccm, Watashindwaje kukata hivi sasa alivyohamia Cdm?

Bashe Safari yake Bungeni inaishia Kamati kuu ccm, Kama anataka Ubunge akogombee Somalia,!

BACK TANGANYIKA

Mkuu ubaguzi wako hauna nafasi katika nchii hii...ulaaniwe kabisa
 
Huu ni uongo wa kitoto saana walioandikishwa iringa mjini kwa maana ya manispaa ya iringa kwenye bvr ni 105662 na jumla ya wapiga kura wa ccm ulioainisha ni 145637
hii Kali Aisee
 
Wagombea wenzake ndani ya ccm wameendelea kupanic baada ya ushindi wa asilimia zaidi ya asilimia 90,JAIRO NA KILIMBA wameingia mitini mapema baada ya kuona hali ni tete..nipo jimboni nitaendlea kuwajuza.
 
Familia ya Riz sasa imemuachia Bashe uraia eeh?

Angeshinda Membe wangekuwa na ile jeuri ya kuzusha kuwa sio raia huku wakiwaacha wazazi wake na ndugu zake.

Mkateni tena muone cha mtema kuni.
 
Hivi Nchimbi aligombea songea mjini? Matokeo yakoje?
 
zile kura za gori la mkono vipi na zenyewe zimehesabiwa ni halali?
 
Hawa wapiga kura za maoni wangezingatia pia uadilifu wa mgombea,maana ndugai anaweza kupiga hata wapiga kura wake,hana uvumilivu,tunasubiri kamati kuu kumwengua vinginevyo ukawa chukua jimbo

Unakumbuka vizuri wewe ama umezinduka? unakumbuka yaliyofanywa na Lowassa kwa mgombea mwenzie Kalokola kule Tanga? basi yule mzee analaani maka leo na laana itamfata Lowassa
 
Back
Top Bottom