Updates: Misri vs Tanzania [Michuano ya makundi kufuzu AFCON 2017]

Wadau wa mchezo walishasema hiyo team ipumzke kwanz ili kuja n permanent solution
 
Waje tucheze nani... . ................... C unajua tena
 
I miss you Marcio Maximo
Atleast hope were there Ulipokuwa na Stars
 
Dk 77

Misri 3 - 0 Tanz

Mbonde anaingia kuzipa nafasi ya Morris aliyetoka baada ya kuumia...
 
Malinzi a.k.a Bishanga bepari la Kihaya..kauwa mpira wa Bongo...
 
Ushawahi kuona nchi gani timu yao ikicheza wanashabiki timu pinzani?ndo maana nimeamua niwe mbali na taifa stars
 
Hii timu si ifutwe tu,wanakula mishahara bure
 
hivi kwanini nilipenda mpira?

kwanini ? naumia Sana kuona tunaendelea kuwa wateja wa kila timu

mkuu mi mpira wa bongo nishajitoa kitambo sana, kama viongozi wenyewe wana ile don't care condition sisi huku je? yaani nipo radhi bundle langu nitumie stream live match za man u U20 au madrid castilla lakn sio taifa stars ugonjwa wa moyo huo, maisha yenyewe stress tosha.
 
Hii ndio tz, viongozi wako busy kutangaza nia...mechi hazioneshi kwenye chanel yeyote...bora tufunge hata10
 
Dk 83

Misri 3 - 0 Tanz
 
Hivi kipa bora na kocha bora VPL 2015 walitoka team zipi tafadhali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…