UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
GuysAsubuhi Alivyojikokota Akajificha Kwenye Dustbin Nimemkuta Nikamaliza Kabisa.Kwa Jirani Aliyesema Nimemuumiza Naona Watu Wanaingia Na Kutoka Kazidiwa Ghafla.Panya Nimemmwagia Mafuta Ya Taa Nataka Niwashe Jehanam
Aisee .....ile chai bado inaendelea ....weka picha ya huyo panya uliyeuwa ili tukuamini
Sijaelewa
Naweka Sasa Hivi Nasikia Watu Wanampeleka Hospitali Kafunga Kauli
Tafadhali usifananishe walimu na vitu vya ajabu!!Shule zimefunga walimu mnakula maisha.
Shule zimefunga walimu mnakula maisha.
Tafadhali usifananishe walimu na vitu vya ajabu!!
Mkuu msimkane Mwalimu mwenzenu.