Updates: Simba SC vs Yanga SC Uwanja wa Taifa

Yanga warudi Jangwani wakauze majani ya chai.
 
Watani zetu Yanga hii ndiyo Simba. Msivunje tu timu yenu. Kipigo mmepata na viongozi watafaidi hela ya mgao wa Mechi. Simba rahaaa
 
Hivi kwenye soka huwa hakuna kunyanyua mikono ukatoka uwanjani, Kama kwenye ndondi, ukiona umezidiwa? Kama hilo linawezekana yanga si wangetoka uwanjani yalipofika matatu ili kupunguza aibu.
 
Yanga upepo tu. Timu mara wazee wanaigombania mara nchunga. Upepo upepo m2pu. Hongera mnyama.
 
Hivi kwenye soka huwa hakuna kunyanyua mikono ukatoka uwanjani, Kama kwenye ndondi, ukiona umezidiwa? Kama hilo linawezekana yanga si wangetoka uwanjani yalipofika matatu ili kupunguza aibu.

teh teh. Yanga kapigwa tko
 
dah!roho inauma ila sina jinsi,Yanga ntakupenda hivyohivyo ulivyo
 
Nchunga ajiandae na ndiyo atajua nini maana ya wazee wa Yanga!
 
Natangaza rasmi kurudisha kadi ya yanga na kujiunga na SIMBA
 
TUKATAFUTE MVINYO SASA LAINIIIIIIIII. Ahsante MUNGU, ahsante SIMBA
 

Swahiba pole sana

nilitaka kukuchokoza nikajua sukari itakua imepanda mkuu

Umeona nyomi??View attachment 53586
 
Hongera wana Simba wote ubingwa umepambwa kwa ushindi safi. Poleni watani
 
Mimi jaguar ni yanga damu,bravo and congrats to you simba,you deserve this massive victory,(kupanda kwa simba kushuka kwa yanga and vice versa)^-1.
 
Simba nitaendelee kuwalaumu kwa kitendo cha kumwachia nurdin Bakari kwenda yanga..ni mchezaji mzuri sana na tangu aende yanga amekuwa akitusubua sana
Simba 2-0 Yanga wakiwa na Nurdin Bakari na wengine 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…