Wakuu tupeane updates
Mie nimetoka kupiga kura lakini,nimeshindwa utaratibu ni mbaya kupita kiasi.
Oroadha ya majina ya wapiga kura ambayo ilibandikwa jana imelowa yote na mvua ya jana-mpaka sasa zoezi zima la kupiga kura bado alijaanza-na kwa maaantiki hii watu wengi sana awatapiga kura leo kutokana na kasoro za urodheshaji wa majina kwenye mbao za vituo.
Mimi ni natakiwa nipige kura Buguruni Kisiwani-kwa mantiki hii sipewi fursa ya kuchagua mwenyekiti wa serikari ya mtaa wangu ,kwa sababu ya uzembe wa watendaji katika Manispaa husika.
Naomba update mitaa mingine.
Mdau wa Lusungo Ipinda Kyela.
Mie nimetoka kupiga kura lakini,nimeshindwa utaratibu ni mbaya kupita kiasi.
Oroadha ya majina ya wapiga kura ambayo ilibandikwa jana imelowa yote na mvua ya jana-mpaka sasa zoezi zima la kupiga kura bado alijaanza-na kwa maaantiki hii watu wengi sana awatapiga kura leo kutokana na kasoro za urodheshaji wa majina kwenye mbao za vituo.
Mimi ni natakiwa nipige kura Buguruni Kisiwani-kwa mantiki hii sipewi fursa ya kuchagua mwenyekiti wa serikari ya mtaa wangu ,kwa sababu ya uzembe wa watendaji katika Manispaa husika.
Naomba update mitaa mingine.
Mdau wa Lusungo Ipinda Kyela.