Updates: Uchaguzi wa viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Jamani wanaofanya uchaguzi chonde chonde huyo malinzi hatumtaki tuchagulieni mtu mwingine huyo uyanga unamsumbua mpaka timu ya taifa iko nafsi ya 139 tff ya malinzi kila siku ni makomeo
 
Jamani wanaofanya uchaguzi chonde chonde huyo malinzi hatumtaki tuchagulieni mtu mwingine huyo uyanga unamsumbua mpaka timu ya taifa iko nafsi ya 139 tff ya malinzi kila siku ni makomeo
Nyange kaburu nae hatumtaki pia maana timu anayoiongoza haichukui ubingwa mwaka 4 huu sasa
 
Too low, hopeless
 
Sio vizuri
kuwachafua wagombea.
Tunajua chama chetu cha mpira kimeanza mchakato wa uchaguzi wa viongozi
wake.
Kutoa maoni kwenye jukwa kama hili ni vizuri, ili tusiokuwa na ufahamu kuhusu maswala ya Soka tuweze kupata
maarifa.
Kwa upande wangu naona sio vizuri kutumia jukwaa hili kwa lengo la kuwachafua wagombea fulani.
Hatari hapa ni kuwa wagombea wataanza kutumia jukwaa hili kuchafuana na kuumizana.
Ningependa mtoa mada utuletee wasifu wa kila mgombea, na hasa uzoefu wake katika fani ya Soka. Ili wadau tuwapime kwa kina, na pia wagombea wanaweza kuja hapa kueleza ni kwanini wameamua kugombea.
Kama utataka kukosoa basi tuletee hapa makosa ya kila mgombea ili tuone nani amekosea wapi katika fani ya mpira.
Ukimkosoa mmoja au wawili itaonekana labda unania ya kumchafua ili mgombea wako ashinde.
Na inawezekana ikaonekana kama ni majungu na fitina juu ya mgombea fulani.

Samahani kama nimetoka nje ya mada.
 
Amaa kweli mhaya!!!. Aaache kuiba, kubeba ndugu zake? .
Ukifika jela serial ya makabila wezi ni hii hapa.
1.Wahaya.
Hawa akipewa ofisi mtajuta balaa akiwa siyo mfanyakazi wa umma wengi wao majambazi wa silaha kali. Tff itaponaje na malinzi?.
2.Wachaga
Kama wahaya tu utofauti ni mdogo sana kwenye ujambazi wa silaha wamo. Utapeli na mengineyo. Akipewa ofisi ya umma lazima mlie. Rejeeni akina Basil mlamba aliyekuwa waziri wa fedha.
3.Wakulya
Hawa wakiwa kazini ni waaminifu ktk kazi za umma ila wasio na kazi ni majambazi full usipime. Ukatili mwanzo mwisho.
3.Wasukuma.
Ujambazi wa silaha kuiba ngombe zizi zima hawabebi mmoja mmoja na akipewa ofisi wote mtajua tu.
4.Nyakyusa .
Yaani hawa wana upendo balaa.Ukisikia upendo nenda mbeya. Wanaume wa kinyakyusa akiingia kwenye ujambazi ni noma. Si wengi bali wachache tu wanaoingia ni tishio. Akipewa ofisi ya umma watu wa kabila jingine jiandaeni kwa kwenda. Hadi mlinzi wa geti atakuwa mnyakyusa. Rejeeni idara ya bima zamani wakati mkuu akiwa wa mbeya.
5.Mnyiha
Hajui kulemba wao ujambazi tu. Akipewa ofisi ni waaminifu mtafaidi wote bila ubaguzi.
Wengine wote ktk wizi ujambazi na ubadhirifu wa mali za umma wanawaiga hao hapo juu. Hiyo ndiyo top 5 yangu.
Yafuatayo ni makabila wanayoongoza kwa uaminifu nchini Tanzania na hawana ukabila. 1.Singida(wanyaturu,wanyiramba)
Uzuri wao, upole wao, akipewa ofisi huitendea haki vema. Ni waaminifu kwa kiasi kikubwa.
2.Rukwa,wafipa
Inasemekana kuwa mkoa huo ulishindwa kuendelea kiuchumi kwa kuwa wasomi wote robo tatu waliamua kuishi maisha ya kitawa yaani wengi mapadri, maaskofu, masista na wachache sana baada ya kushindwa maisha ya utawa ndipo wakaamua kuitumikia serikali. Yaani kuajiriwa serikalini ilikuwa ni baada ya mtu kushindwa maisha ya utawa kwa kufukuzwa utawani.
Ni wasiri mno. Unaweza kukaa na mfipa miaka nenda rudi karibu usimjue tabia yake halisi. Katika kufuata sheria ndiyo msingi wao. Ni waoga sana pia ni jasiri sana ktk vitu wanavyovijua. Rejea mh. Pinda, Kardinali Pengo, Mzindakaya.Wengi wamejaa usalama huko.
3.Kigoma,waha.
Kama nilivyowasema wafipa ila hawa msimamo ni kidogo sana ila bado ni watendaji wazuri wakiwa ofisini.Mha akiwa mkuu ofisi fulani ufanisi utauona vizuri. Wana papara ya maisha. Pia wanawake ni waaminifu sana ila midomo.
4.Ruvuma,wangoni.
Ni wataratibu na wanatimiza wajibu wao. Akiwa msimamizi mkuu wa ofisi lazima mafanikio muyaone. Udhaifu wao mkubwa ni pombe.
5.Iringa,Wahehe,wabena,wakinga
Akiamua kusoma husoma kweli hawana ubabaishaji, ni wachapa kazi. Wanaridhika na anachokipata. Wizi ni adimu sana kwao. Wanaamini ktk akiba zaidi. Mafanikio yao hutokana na kujiwekea akiba kujinyima. Ni waaminifu. Ni wadhaifu ktk masuala ya jadi, yaani imani za kichawi ndiyo msingi wao.
Kama wapo waaminifu basi ni wafuasi wa makabila hayo juu.
Hivyo Jamal Malinzi yule mhaya hawezi kubadilika mpaka yesu anarudi na awamu hii tena atapita kutokana na tabia nilizzieleza hapo juu. Rais mpya wa tff atakuwa Jamal Malinzi labda asiwe mhaya nimjuaye. Malinzi ataendelea kuiumiza Tff daima.
 
Sioni wana simba wakichukua fomu ya urais Kaburu kachukua Umakamu Wambura amechukua Umakamu bado tumeona tuwahachie Yanga waongeze TFF milele tutakuwa tunapewa pointi wakiona mambo magumu kwa Yanga wanatunyanganya
 
Kama tukienda na aina hii ya fikra "mfu" ndiyo tutalididimiza soka letu
 
Wakuu Nawasalimu, Ninajaribu kupiga Ramli hapa lakini sipati Jibu kuhusu Uchaguzi wa TFF mpaka sasa Wagombea wa Urais wanazidi kumiminika na mpaka mchana huu wafuatao wamekwisha chukua FOMU

Jaman Malinzi
Iman Madega
Wallece Karia
Fredrick Karia
Athuman Nyamlani

Embu Toa maoni yako hapa..
 
Kama tukienda na aina hii ya fikra "mfu" ndiyo tutalididimiza soka letu
Unasahau hilo lilikuwa jibu kwenye post. Uliisoma hiyo post ili upate maudhui vizuri?

Mleta mada anampinga Malinzi kwa u Yanga wake tu. Hana hoja nyingine ya maana
 
Na
MI nafikiri inapotoka nafasi ya uongozi, ni first kwa yoyote mwenye sifa kuomba nafasi. HAIJALISHI yy ni mapenzi wa timu gani. Km Madega au Kaburu wanao sifa za kuondoka pale, wachama wagombee. Teachers kaingia sasa za U Simba na U Yanga kwenye uchaguzi wa tff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…