Kweli shemela, ya jana uShem Timu ya Wananchi inatuangusha aisee.
Ila wacha twende nayo tu Shem japo kwa hali hii inabidi wanaotoa ahadi za pesa waache kuahidi mana walivyocheza jumapili na jana ni tofauti kabisa.Kweli shemela, ya jana u
Ilikuwa kero.
Hahaha aisee siyo wewe uliyeniambia kitu chepesi kutabiri ni mvua tu?, sasa imekuaje tena unatabiri๐ธ๐Tulia Mtani. Hiyo game tunashinda.
Hahahahaaaaa.Basi tusubiri tuone yatakayotokea hiyo Jumamosi sijui JumapiliHahaha aisee siyo wewe uliyeniambia kitu chepesi kutabiri ni mvua tu?, sasa imekuaje tena unatabiri๐ธ๐
Duuh ๐ค๐คUkitoka na Namungo unacheza na wababe wenu Azam fc.
Simba nguvu moja
Cha nguruwe kinakuuma wewe.Waganga FC
Wachawi FC
Wanga FC
Ulozi FC
Ndumba FC
Warogaji FC
Vibuyu FC
Manyaunyau FC
[emoji23] [emoji23][emoji23]
BENAD MORISSON baada ya kupanda mpira, akawapanda simba MORISSON = Kagere + Bocco+ Chama + Luis + Kahata + Mkude + Shiboub+ Dilunga + Ajibu.Waganga FC
Wachawi FC
Wanga FC
Ulozi FC
Ndumba FC
Warogaji FC
Vibuyu FC
Manyaunyau FC
[emoji23] [emoji23][emoji23]
BENAD MORISSON baada ya kupanda mpira, akawapanda simba MORISSON = Kagere + Bocco+ Chama + Luis + Kahata + Mkude + Shiboub+ Dilunga + Ajibu.
Mnajua kujifarijiUZI WA MIPASHO. Teh teh
Ama kweli tarehe 08 hamuezi isahau kirahisi. Yaani wake kwa waume wote mumepata vichefu chefu.
LAMBENI NDIMU HEBU HALAFU MKIMALIZA MKUMBUKE MPIRA UNA MATOKEO MATATU NA KUFUNGWA IKIWEMO. ๐
Cha nguruwe kinakuuma wewe.
Nyie ndio mumegeuza uzi wa kujifariji Mtani.Mnajua kujifariji
๐ ๐ ๐ mmekua wanyongeTuache. ๐
Sisi ushindi wetu wa juzi ni faraja toshaNyie ndio mumegeuza uzi wa kujifariji Mtani.
Hahahaaa!! Wala sio wanyonge.๐ ๐ ๐ mmekua wanyonge
Sema sisi kufungwa ndio imekuwa faraja kwenu bana. ๐Sisi ushindi wetu wa juzi ni faraja tosha
Kumbe kufungwa ni sehemu ya mchezo ila tarehe 8 mkajisahaulishaHahahaaa!! Wala sio wanyonge.
Kafungwa Liverpool , 5imba ije kuwa ajabu Yanga Mtani. Kawaida tu hiyo. Nyie ndio mumechukulia ni ajabu Yanga kufungwa. Teh teh
๐๐haitokaa itokeeSema sisi kufungwa ndio imekuwa faraja kwenu bana. ๐
Hahahaaaa. Hivyo munalipiza?Kumbe kufungwa ni sehemu ya mchezo ila tarehe 8 mkajisahaulisha