Updates za Beijing Auto Show 2024 (25 April - 4 May)

Huawei & BAIC BluePark wazindua Stelato S9

Yeah. Hawa Hawa Huawei wanaotengeneza simu, ndio waliotengeneza gari la Huawei Luxeed S7 kwa kushirikiana na Chery, sasa wameshirikiana na Baic Blue Park kutengeneza Stelato S9.


Hii sedan kwa maelezo ya Huawei ni luxury sedan itayokuja compete na BMW 7 series, Mercedes Benz S Class, Audi A8 nk.

Itauzwa €38,000/= tu.
 
KIA
Kia Motors kutoka Korea nao walikuwepo na wamezindua Kia EV5 Long Range, Sonet na Uni Wheel.

Kia EV5 ni SUV ya umeme ambayo itatembea kilometa 720 kwa single charge, ikiwa na battery ya 88.1 kWh na motor yake ikiwa na 160 kW hivi.

Hii gari inabwembwe kama ADAS L2, seat zenye massage, friji etc.

Kia Sonet ni special kwa Chinese Market, bado hawajasema kama watatuachia na sisi.
 
Apple nae alikuwa ana magari, na alikuwa ana zi show off kidogo.
Watu Waka nunua hisa kabisa, Waki jua mzigo una enda kuoindua meza.

Cha kushangaza, muhuni kasema labda baadae Sana.
Ko shughuli IPO.
Huyu anawafuasi wengi. Nategemea akileta gari watu watajikata vichwa watanunua kama vichaa.
 
Jaecoo J6 tena.
Tumetoka kuongelea J7 ambayo ni SUV kutoka kw Jaecoo sub brand ya Cherry.

Sasa wamezindua J6 ya kibabe zaidi.


Hii ni EV yenye range ya kilometa 501, pia ina solar panel na ADAS tech kutoka kwa DJI, wakali wa drones camera.

Ukiiangalia inafanana na Land Rover Discovery au Suzuki Jimny flani, ila ndio ivo kikubwa tuvimbe.
 
Haval bongo zipo tayari
 
Watengeneze tu na z solar, mchana unatumia solar tupu na kuchaji betri, usiku unatumia betri yako.

Mchina nyoko ndio maana mmarekani anampiga vita.

Befoward nimeiona xiaomi su7 zimetembea km kama 30 hivi dola 30k na ushehe,
Sasa najiuliza vipi hawa TRA!!?
 
Watengeneze tu na z solar, mchana unatumia solar tupu na kuchaji betri, usiku unatumia betri yako.
We never know inaweza ikatokea hilo

Photovoltaic solar energy tech ni moja ya sekta Mchina anafanya vizuri sana duniani akiwa kinara

Mchina anaongoza kwenye uzalishaji, R&D, installation na exports.
 
Acha, unakutana na matuta ova shamba la viazi. Bado barabara mbovu kuna sehemu haupeleki.

Pia, wangetekeleza ile kauli ya magari ya umeme yaje na free kodi.
Hii iendane na sera ya bwawa la Nyerere.
Siyo kwa CCM ndugu yangu, hiki chama tumekulia humo kupitia wazee wetu ila siyo kwa maendeleo yenye kukupa wewe haueni.
 
Hawa wana bei za kizalendo kabisa
 
We never know inaweza ikatokea hilo

Photovoltaic solar energy tech ni moja ya sekta Mchina anafanya vizuri sana duniani akiwa kinara

Mchina anaongoza kwenye uzalishaji, R&D, installation na exports.
Itakuwa ni hatua kubwa mnoo na jambo jema.

Eti miaka ya 60 tulikuwa nao sawa kiuchumi, wenzetu wamesonga mbele sisi tumerudi nyuma, inasikitisha.
 
Itakuwa ni hatu kubwa mnoo na jambo jema.

Eti miaka ya 60 tulikuwa nao sawa kiuchumi, wenzetu wameaonga mbele sisi tumerudi nyuma, inasikitisha.
Shida sisi tuna Sera za kijinga Sana, viongozi wetu hata kutazama kwa kina Hawa wezi.

Imagine Kuna mazao Yana hitajika mbele kwa kiasi Kikubwa.
Ila kutoa vibali ili yapelekwe ni kasheshe, wame amua kushikilia mpini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…