Updates za Dodoma

BungelaKatiba2014tz

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
1,231
Reaction score
649
Jamani yeyote mwenye updates za nini kinaendelea Bungeni Dodoma manake naona leo TV zote kimya.
 
Nini maana ya jina lako sasa?!

Jina hilo maana yake nitakuwa nikichangia sana kwenye mada zinazohusu Katiba Mpya na hasa mjadala wa Bunge unaoendelea kwa vile ni tukio muhimu sana katika nchi yetu. Kwa hiyo siyo lazima niwe wa kwanza kujua kinachoendelea ila ningefurahi kama ningekuwa wa kwanza kufahamishwa kinachoendelea.
 
Hakika Bubge la Katiba tunakutekemea utupe hizo updates. Au unatutega?
 
Hivi bunge la halitakua live kabisa? Mana jana toka itokee kasoro ya kura tu tbc wakasepa jumla leo ndo kimyaaa
 
Jibu linajitosheleza. Hatutegemei kukuona kwenye yale majukwaa mengine hasa ya udaku na mapenzi
 
Jibu linajitosheleza. Hatutegemei kukuona kwenye yale majukwaa mengine hasa ya udaku na mapenzi

Huko kuna wenyewe, mimi ni junior kwenye jukwaa hili na ni kwa sababu ya tukio la kihistoria Katika nchi yetu ndilo limenivutia na kuamua kuwa member. Udaku na Mapenzi mkuu kwani lazima huku kama vipi si unakwenda kabisa salon, kwenye kumbi za starehe na kusoma majarida ya mapenzi n.k
 
Badili jina mkuu, ndio uulize swali lako vinginevyo njoo na majibu ya swali lako kutoka kwenye vyanzo husika.
 


Aaah!! Huna maana yoyote kumbe, majina huwa yanaaksi ukweli fulani hivi, sasa wewe unajiita BungelaKatiba2014....kumbe sifuri. Ni heri ukifuta hilo jina kabisa ili tubaki hivi hivi bila updates zozote.
 


Mkuu, wewe unatuchanganya mno, hebu ona majibu yako ya kisiasa. Jifute hilo jina......please.
 
MI NGOJA NIANZE KUWA UPDATE,,MAANA KILA MTU ANAOGOPA,,

Mpaka sasa,,aliyoyasema jaji joseph warioba,,,yameanza kutimia,,,,

“Lazima Bunge likubaliane kwa maridhiano, mkipitisha Katiba kwa KURA mjue kuwa siku moja baada ya kupitisha, ITAPINGWA NA WANANCHI,”

JANA ZIMEPATIKANA KURA HEWA 20,,,,,SASA SIJUI HAO ISHIRINI WANAPATA POSHO YAKUUZURIA KIKAO,,,AU WATALIPWA NA WALIOWATUMA KUCHAKACHUA KATIBA YETU..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…