Updates za kesi ya mauaji ya Daudi Mwangosi

Kitendo cha Kikwete kuamua kumpandisha cheo Kamuhanda baada ya mauaji ya Mwangosi ni dhahiri kuwa hata yeye (Kikwete) ni mhusika muhimu kwenye mauaji na kesi hii pia.
 
Yaaani so sad..ushahidi afifu kweli kweli...OCD unashikwa mikono unapiga kelele pasipo kuuliza mtu anataka nini?...tena hana hata silaha....huu ni uongo wa waziwazi kabisa...
 
Ni suala la muda tu.....wauaji wanakwenda kuaibika. .damu ya mtu siyo....ona wanavyojichanya sasa...kama mnara wa Baberi.
 
imrkatazwa kujadili kesi iliyoko mahakamani. tunaingilia uhuru wa mahakama
 
!
!
sababu ya elfu mbili mia sita ya kwa nini siwapendi polisi. Mauaji ya kinyama ya Daudi Mwangosi.
 
No aibu kwa taifa na usalama wa nchi ni kweli hata rais anahusika kwa hili uwezi kumpandisha cheo kamanda aliyeongoza haya mauaji kweli mafisadi wanna nguvu nchi hii
 
Hivi mjane wa Mwagosi au CHADEMA au mdau mwingine kama vile club ya waandishi wa habari, watetezi wa haki za binadamu hawawezi kuanzisha kesi nyingine au kupeleka mawakili wao kumsaidia wakili wa Serikali? Naona kesi inaenda soft soft sana.
 
Hata kama ukweli ukipindishwa lkn wajue kua Mungu huwezi kumpindishia jambo na cha kutia moyo Mungu ni hakimu wa haki
 
Hata kama ukweli ukipindishwa lkn wajue kua Mungu huwezi kumpindishia jambo na cha kutia moyo Mungu ni hakimu wa haki

Ni bingo kuongoza watu ambao kila kitu wamemwachia Mungu.
 
Ni bingo kuongoza watu ambao kila kitu wamemwachia Mungu.
Ipo siku haya yote yatakua wazi hayatafichika tena , si muda mrefu kwani watu kila kukicha wanafunguka fahamu zao.
 
kwa ushahidi unaotolewa na hawa wajinga, hakuna kesi ya kujibu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…