Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

Ulikuwa unapigwa PIPE na mzungu ndugu?
 
Kaka! seriously?
 
Aiseee, umeongea kwa hisia sana mkuu msamehe tu sasa, he is no more
 
Duh noma sana
 
Hii mentality ya watu wa vyombo vya ulinz na usalama kujiona wako na mamlaka kiboya boya kwa raia itawaponza, ww luten kwa makuruta wako uko kambini sio kitaa
 
Natamani hao wajeda wangekuja maskani.. aisee ningenoa panga na ningehakikisha naondoka na kichwa Cha mjeda mmoja . Huu ni ubwege unakubali vipi kupigwa ukiwa kwako Tena bila kosa ? Huo ni umama
 
Huko wanatembeza kichapo,raia wakijihami kwa Visu atapona mtu kweli?
 
Ila Wanajeshi wengi Wana tabia hiyo ya Ubabe wa kipuuzi hata wakiwa uraiani, wengi ni wakorofi sana.
 
Mbona hamnipi Maua yangu kwani kuna Wapumbavu kadhaa walidhani na wanadhani GENTAMYCINE huwa nakurupukaga katika Taarifa zangu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…