Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kamuuwa sababu ya kupigwa makofi amepata nini? yule kafa na yeye maiti bado inatembea tu faida yake ni nini? Kama tunaona sawa ukionewa tu na wewe malizia basi huku mijini nadhani kila siku, kila sasa kuna mtu angekuwa anauliwa maana uonezi kila sehemu upo. Ndio maana nimesema funzo kujifunza ku control hasira zetu hata ukiwa umeudhiwa kiasi gani. angefanya na yeye kumpa kipigo yaani yeye kapigwa makofi sasa yeye angempinga mangumi lakini sio kumchoma mtu ukijuwa kabisa kitendo chako unaweza kumuuwa mtu.kumtukana mtu na kwenda kumtandika makofi kisa kakwambia upishe apite umeziba njia, shida ilianzia hapa.
Sio kila binadamu anakubali uonevu, Mjeda alivuka mipaka pale alipokwenda kumnasa vibao kijana wa bajaji.
Sasa kamuuwa sababu ya kupigwa makofi amepata nini? yule kafa na yeye maiti bado inatembea tu faida yake ni nini? Kama tunaona sawa ukionewa tu na wewe malizia basi huku mijini nadhani kila siku, kila sasa kuna mtu angekuwa anauliwa maana uonezi kila sehemu upo. Ndio maana nimesema funzo kujifunza ku control hasira zetu hata ukiwa umeudhiwa kiasi gani. angefanya na yeye kumpa kipigo yaani yeye kapigwa makofi sasa yeye angempinga mangumi lakini sio kumchoma mtu ukijuwa kabisa kitendo chako unaweza kumuuwa mtu.
Sheria gani unaongelea hapa? ok tuseme sheria zifuatwe. Wewe mtu kakupiga utafanya nini? sheria inasema nenda kashtaki police hakuna sheria inasema lipiza kisasi ukionewa wewe malizia uwa kabisa. Nchi inasheria issue zinafuatwa au la hiyo hoja nyingine. Unajuaje kama kaonewa? kama alimtukana matusi ndio sababu ya kupigwa makofi? kwani maudhi mpaka mtu akupige kuna watu mdomo tu anaweza kukupandisha hasira. Kama nilivyosema yeye kidume hakubali kuonewa sasa yupo wapi? kauwa na huu ndio mwisho wake.sio kila mtu anapenda kuonewa au kudhulumiwa, hatufanani kwenye uumbaji.
asingefanya hivyo pia inawezekana angekufa kwa kihoro kwa kuwaza kila siku kwanini anaonewa.
Mauaji ya hivi pia ndio huleta haki kwa mamlaka kuona kuna umuhimu wa kuweka sheria za haki kabisa ili yeyote akionewa na yeyoye hata awe na nguvu kiasi gani basi sheria iweze kufanya kazi.
Mamlaka zinapaswa kusimamia sheria ili zifanye kazi kwa kila mtu na dola inapaswa kulinda kila mtu
Na wewe acha ujinga,aliyesababisha yote hayo ni huyo mpumbavu Kanali! Angekuwa mwadilifu na mwenye busara amani angekuwepo na hakuna kitu kibaya kingemtokea!Sheria gani unaongelea hapa? ok tuseme sheria zifuatwe. Wewe mtu kakupiga utafanya nini? sheria inasema nenda kashtaki police hakuna sheria inasema lipiza kisasi ukionewa wewe malizia uwa kabisa. Nchi inasheria issue zinafuatwa au la hiyo hoja nyingine. Unajuaje kama kaonewa? kama alimtukana matusi ndio sababu ya kupigwa makofi? kwani maudhi mpaka mtu akupige kuna watu mdomo tu anaweza kukupandisha hasira. Kama nilivyosema yeye kidume hakubali kuonewa sasa yupo wapi? kauwa na huu ndio mwisho wake.
Pumbavu.mi page 20 tunajadili hekaya ambayo haijathibitishwa, maelfu na maelfu ya watu... hatuwezi hata kuangalia style ya uandishi wa kishabiki, kihuni, kui dauti kidogo stori..
Safi sana najua watatupiga ila wameshajifunzaAfande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Hatari sana life is not fairAisee!
Kabisa siku zake na siku zangu zilikuwa bado si unaona mpka Leo nipo imepita karibu miaka 10Pole sana mkuu kidogo tu ungeuwa boya.
Kaanze kwanza Kumuonya Mumeo sawa? Idiot.Una panik nini kama ni ukweli? Acha ujinga mara nyingi nakuonya
Basi unajikuta bonge la mchunguzi kumbe ni ----Afande ( Luteni Kanali ) aliyeuawa jana Kawe Jirani na Baa maarufu ya Bombardier anaitwa Muna.
Marehemu ni Mkazi wa Mkoa wa Singida.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa kapandishwa Cheo na alikuwa anaenda kuwa Mkuu wa Kikosi Mkoani Arusha na leo Ijumaa ndiyo alikuwa anatakiwa Kuripoti tayari kukabidhiwa Majukumu.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna aliuliwa kwa Kuchomwa na Kisu cha Kukunja na Kijana aitwae Kato huku Mkewe na Mwanae wa Kiume wakiwa ndani ya Gari.
Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alikuwa ameenda Kubadili Tairi za Gari lake kwa Mfanyabiashara aitwae Chinga ambaye huwa Wanakunywa wote katika Baa yake ya Maifea Kawe ambayo ndiyo huwa anapenda Kunywa na hata wakati anachomwa Kisu hicho alikuwa amekunya kidogo ila anajitambua.
Afande Luteni Kanali Muna ndiyo alikuwa wa Kwanza kumkabili ( Kuzozana ) na Kijana ( Mchoma Kisu aitwae ) Kato baada ya Kuombwa asogeze Gari lake ili apite ndiyo Marehemu Afande Luteni Kanali Muna kwa Jeuri na Ubabe akamjibu Dogo ( Kato ) vibaya na kwenda Kumzaba Makofi mawili matatu.
Kijana aliyemchoma Kisu kilichopelekea Umauti Afande Luteni Kanali Muna aitwae Kato alikuwa anataka kuwahi Kawe mwisho Maringo ambako aliambiwa kuwa Mwizi wa Bajajj yake kaonekana na kwamba hata hicho Kisu alichokuwa nacho ( alichommaliza nacho Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ) kilikuwa ni cha kwenda Kukabiliana na huyo Mwizi wake ila Marehemu Afande Luteni Kanali Muna alijiingiza tu mwenyewe katika 18 zake.
Mwili wa Marehemu Afande Luteni Kanali Muna umeagwa leo ( Mchana ) huu Hospitali ya Jeshi Lugalo na sasa uko safarini Kusafirishwa kwenda Kwao kwa Watani zangu Wanyiramba na Wanyaturu Mkoani Singida kwa Maziko rasmi Kesho.
Mchoma Kisu ( Muuaji Kato ) amekamatwa Jana akiwa njiani Kutoroka na Wanajeshi walitaka wapewe Wao, ila Jeshi la Polisi likawakatalia na Kumshikilia wao wakisema hiyo ni Kesi ya Kiraia na siyo ya Kijeshi kama ambavyo Wanajeshi walikuwa wanataka Kuilazimisha iwe hivyo.
Jana Wakazi wa Kawe ( hasa wa eneo husika ) walipokea Kipigo Kikali sana kutoka kwa Wanajeshi ( hasa MP ) kutokea Kambini Lugalo ambapo GENTAMYCINE nimekutana na baadhi ya akina Mama na Wahudumu wa Baa ya Bombardier Kawe wakiwa Wanachechemea, wanatia Huruma huku wakiwa wanatokea Hospitali za Ndahani, kwa Mambo na Shamba ( ya Serikali ) kupatiwa Matibabu kwani Jana walikuwa hawachaguliwi wa Kupigwa kwa Hasira na hakika Kipondo kilitembezwa na Wanajeshi ( MP )
Ahadi waliyoitoa Wanajeshi ( hasa MP wa Lugalo ) ni kwamba Leo kuanzia Saa 10 Jioni wanarejea tena kwa Oparesheni yao Kabambe na kwamba leo watapita / wataingia nyunba kwa nyumba hata kama Unaukweka ( Unakunya ) utachomolewa Chooni uje upokee Kipigo utaje Wahuni unaowajua na ukimaliza huku ukiwa na Maumivu ya Kipigo chao unarejea Chooni kuendelea na Zoezi lako la Kunya ( Kuukweka )
Sifa zilizozoeleka za Marehemu Afande Luteni Kanali Muna ni ya Ubabe wake wa Kiuanajeshi aliokuwa nao hasa kwa Raia, Kugambeka ( Kulewa ) mno Baa yake Kubwa ya Maifea Kawe ila akiwa anataka Totooz ( Udhaifu mkubwa aliokuwa nao ) alikuwa akipenda kuweka Kambi katika Baa ya Wauza Malaya ( Wachafu na Wasafi ) ya Igole iliyo Mita chache tu na Kituo cha Polisi Kawe ambacho baadhi yao hao Mihemko ya Kibaiolojia ikiwazidia huvuka tu barabara na kwenda Kuponea kwa hao hao Makahaba.
Inasemekana kilichowakera Wanajeshi wa Kawe ( hasa MP ) baada ya Boss wao Marehemu Afande Luteni Kanali Muna Kuuawa hivyo na Kijana Kato ni kwa Polisi kuwanyima / kukataa kuwapa Mtuhumiwa ili waende nae Jeshini Lugalo wakamuadabishe kwa Sheria zao.
Ni haya tu nimeona niwaletee mjue.
Sasa huyo aliyeuwa ndio unadhani utamuona mtaani? jinga kubwa wewe, unadhani sote tungekuwa tukiudhika tu tunauwa angebaki mtu mtaani, si tungechinjana kila siku. Pumbavu akili za kichawi...Na wewe acha ujinga,aliyesababisha yote hayo ni huyo mpumbavu Kanali! Angekuwa mwadilifu na mwenye busara amani angekuwepo na hakuna kitu kibaya kingemtokea!
Wewe sijui unasimamia nini? Sheria zipo na watu wote wanapaswa kufuata!
Kujificha kwenye kichaka cha kuudhi na kukera watu na kuamini kwamba ili wapate haki lazima waende polisi ni ujinga!
Polisi yupo kwa ajili ya ulinzi na usalama lakini usalama na ulinzi unaanzia kwako!
Huyo mjeda limbukeni wa cheo mwache amevuna alichopanda na kuna uwezekano ni tabia yake ya mda mrefu!
Hakuna jeshi bila wananchi na ni jeshi la wananchi huyo mjeshi kaaibisha jeshi!
Kitabu chake kimefungwa na hakuna la maana cha kumtetea zaidi ya kujifunza kuwa na nidhamu!
Achana nao hawajui walitendaloUmaarufu wangu mkubwa, Mvuto wangu wa Kipekee hapa JamiiForums, Kubarikiwa Kwangu vingi na Mwenyezi Mungu, Maarifa makubwa niliyonayo na Uwezo wangu wa Kutukuka wa Akili na Ujengaji wa Hoja na kujua Mambo mengi ( kuwa All Rounder Person ) na Kuchambua Kwangu Matukio kumekuwa ni Chukizo kubwa kwa Wapumbavu akina Mshuza2 na Medecin huku Wakisahau kuwa Wanavyoumizwa nami na Kunionea Wivu kwa Kupendwa na Kukubalika na Great Thinkers hapa ndiyo wanazidi tu Kunipaisha.
Cc: Ghiti Milimo, Plan Master na Binadamu Mtakatifu