Jeshi halipaswi kabisa kujenga bifu na raia..
Vinginevyo kikinuka, raia wanaweza kuwa upande wa maadui kama ilivyotokea kwa jeshi la Uganda ambapo raia wengi wa Uganda walikuwa upande wa jeshi letu kutokana na kwamba walichoshwa na vitendo vya kionevu na ubabe vya UPDF ya kipindi hicho cha Hayati Alhaj Idd Amin Dada
Vinginevyo kikinuka, raia wanaweza kuwa upande wa maadui kama ilivyotokea kwa jeshi la Uganda ambapo raia wengi wa Uganda walikuwa upande wa jeshi letu kutokana na kwamba walichoshwa na vitendo vya kionevu na ubabe vya UPDF ya kipindi hicho cha Hayati Alhaj Idd Amin Dada