fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Mbona zawadi ndogo sana.Dogo Cisco lazma achukue kitita fantastic philip
Yule Ronaldo siku hizi simsikii kabisa.
Atakua alishaona uduwanzi kupoteza masaa saba kwenye kiti unaumiza akili kisha unaambulia elfu hamsini.
Bigwa nani
prize?Michuano yetu ya mchezo wa drafti inaendelea huko kitunda katika ukumbi wa JAVA mshindi wa kwanza kujinyakulia shilingi laki mbili na wa pili laki moja,
Mpaka muda huu waliotinga NUSU FAINALI ni
DOGO SISCO
DODO YASINI
DOGO ATHUMANI
Mechi ambayo bado haijaisha ni NDURI vs USTADH KIWEMBE Mpaka sasa wameshacheza michezo 14 hakuna aliyeona lango la mwenzie mechi bado inaendelea.
ASANTENI SANA.
Huku kitaani kwetu tunakomaa kutwa nzima hatupati hata 100Mbona zawadi ndogo sana.
Yaani mtu ukomae kuumiza akili kupambana na mkali mwenzio mnarudia game mara 14 kutafuta mshindi.
Zaidi ya masaa sita umekaa kwenye benchi unaumiza akili, halafu eti unakuja kuambulia laki moja!!
Mkuu unavyohisi wewe hiyo zawadi imetoka wapi na aliyetoa hiyo zawadi anafaidikaje?Mbona zawadi ndogo sana.
Yaani mtu ukomae kuumiza akili kupambana na mkali mwenzio mnarudia game mara 14 kutafuta mshindi.
Zaidi ya masaa sita umekaa kwenye benchi unaumiza akili, halafu eti unakuja kuambulia laki moja!!