fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Michuano yetu ya mchezo wa drafti inaendelea huko kitunda katika ukumbi wa JAVA mshindi wa kwanza kujinyakulia shilingi laki mbili na wa pili laki moja,
Mpaka muda huu waliotinga NUSU FAINALI ni
DOGO SISCO
DODO YASINI
DOGO ATHUMANI
Mechi ambayo bado haijaisha ni NDURI vs USTADH KIWEMBE Mpaka sasa wameshacheza michezo 14 hakuna aliyeona lango la mwenzie mechi bado inaendelea.
ASANTENI SANA.
Mpaka muda huu waliotinga NUSU FAINALI ni
DOGO SISCO
DODO YASINI
DOGO ATHUMANI
Mechi ambayo bado haijaisha ni NDURI vs USTADH KIWEMBE Mpaka sasa wameshacheza michezo 14 hakuna aliyeona lango la mwenzie mechi bado inaendelea.
ASANTENI SANA.