Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepandia wapi mkuu, mwaka huu hata wale waliojaribu Kupanda milimao saizi kubwa, wameangukia puaMwaka huu sikuwaza kuingia shambani kabisa,ila zile mvua za May nilizitumia ipasavyo nilipanda milimao size ya kati mpaka muda huu yote imeshika na naomba naomba mvua za Vuli zianze mapema ishamili zaidi ili mwakani ikimpendeza Mnyazi niipige kisu.
Sehem gani mkuu maana sisi tumelima Morogoro huko mlimba Hali c mbaya Sana Na Bei imechanganya hatariAfadhali ya nyie kama mtavuna kidogo wengne kwenye mpunga tumekula za kichwa mazima aisee... alaf ndio bei ya mpunga kubwa hatar.
Ngoja tukanunue tu alzeti ili tufidie hasara japo nao mwaka huu wameanza na bei kubwa balaa.
Mwaka huu sikuwaza kuingia shambani kabisa,ila zile mvua za May nilizitumia ipasavyo nilipanda milimao size ya kati mpaka muda huu yote imeshika na naomba naomba mvua za Vuli zianze mapema ishamili zaidi ili mwakani ikimpendeza Mnyazi niipige kisu.
Sehem gani mkuu maana sisi tumelima Morogoro huko mlimba Hali c mbaya Sana Na Bei imechanganya hatari
Hongera sana mkuuPhased investment. 25(trials) then 100 then 200 lengo ni acre 500 ambapo ndio ukubwa wa eneo lote. Tahadhari ni muhimu sana katika kilimo maana risk ni nyingi sana.
Jifunze kulimapembezoni mwa mito mikubwa hutakuja kulia.Mwaka huu umenifundisha kwamba, Kilimo hakihitaji Uweke makadirio makubwa ya mavuno
Ni maharage ya aina gani yanapatikana hukoKwa sasa baadhi ya mazoa kwa SONGEA -Ruvuma yameanzwa kuvuna ikiwemo ufuta,soya , mpunga na mahindi.Kwa upande wa maharage kwa soko la sodeko yanaonekana yapo mengi na kufanya Bei Hadi wiki iliyopita unaweza pata kwa Tsh 1000
vipi gharama za uchimbaji kisima zipojeMvua zimegoma kabisa mwaka huu...mpunga umekataa kabisa..nimeamua kupanda viaz na mahind kidogo ya kumwagilia.....najipanga nipate pesa nichimbe kisima, mvua imenifanya mbaya sana
Kalumbu,bei ya mchele wa kwetu inakatisha tamaa mwaka huu. Mpunga vijijini bei ipo juu sanaUzi mzuri sana, ngoja nifatilie bei za kijijini kwetu nilete pia
Nimeambiwa na mama home nimeshangaa msimu wa mavuno tena bei inakua juu hivo🙌Kalumbu,bei ya mchele wa kwetu inakatisha tamaa mwaka huu. Mpunga vijijini bei ipo juu sana
Ziko Wapi sasa.?Uzi mzuri sana, ngoja nifatilie bei za kijijini kwetu nilete pia
Naendelea kukusanya data mkuuZiko Wapi sasa.?
unataka kiasi ganiNaulizia Soyabeans wapi nitapata na bei iko vipi.?