Waambie waniongezee BAN nyingine ili ufurahie zaidi sawa? Halafu umeshajiuliza ni kwanini hata GENTAMIYCINE nikiwa BANNED kwa Siku, Wiki, Mwezi na Miezi bado tu naendelea Kujadiliwa na kuwa na Mvuto wangu ule ule hapa JamiiForums?
Hawezi kamwe kupewa Tunu ( Shani ) Kuu Nne ( 4 ) tukuka za kuwa......
1. Purely Talented
2. Charismatic Fella
3. Game Changer
4. Entertainer
Halafu usiwe Kipenzi cha Members hapa JamiiForums na Chukizo kwa Wapumbavu na Waswahili wa mfano wako.
Utajiri mkubwa wa Followers 158 nilionao hapa JamiiForums ni Jibu tosha kuwa nina Thamani ya Kipekee na Mvuto usio wa Kifani kwa Wasomaji huku Wapumbavu mnaopoteza muda Wenu Kutwa Kunichukia, Kunishambulia, Kunidhalilisha na Kunitukana hapa JamiiForums mkiwa ndiyo Watu mnaosaidia Kuniongezea Umaarufu wangu hadi Kujadiliwa ndani na nje ya JamiiForums.
Asante Mwenyezi Mungu.
Mimi ndiyo GENTAMIYCINE The King!!!!