FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Udsm in chuo kikubwa na sifa yake kubwa ni kupata bahati ya ukumbi wake maarufu wa lecture Nkruma hall kuwa kama. Nembo ktk noti ya tsh.500
Pia wahitimu wa chuo hicho ni kama uhitimu na kozi ya jkt sabAjbu mazingira yake ni mazoezi toshA kwani kunA .miinuko na miteremko rafiki kwa afya na ina walimu bora kabisa kama Dr.lwaitama-mstaafu,Dr Mbura,prf.Mkandala-mstaafu,Dr kadege,pf Sivji na wengine wengi,
Mwisho kipo chini ya rais mstaafu Dr.Jakaya kikwete aliesoma hapo,ambae aliteuliwa. Na mh rais Dr.John maghufuli,
Nb;ni chuo pekee ambacho hutoa kozi ya uchoraji katuni hasa aina ya tinga-tinga fpa department na kozi ya uogeleaji
Nifollow instagram kwa jina kaukwaju
Pia wahitimu wa chuo hicho ni kama uhitimu na kozi ya jkt sabAjbu mazingira yake ni mazoezi toshA kwani kunA .miinuko na miteremko rafiki kwa afya na ina walimu bora kabisa kama Dr.lwaitama-mstaafu,Dr Mbura,prf.Mkandala-mstaafu,Dr kadege,pf Sivji na wengine wengi,
Mwisho kipo chini ya rais mstaafu Dr.Jakaya kikwete aliesoma hapo,ambae aliteuliwa. Na mh rais Dr.John maghufuli,
Nb;ni chuo pekee ambacho hutoa kozi ya uchoraji katuni hasa aina ya tinga-tinga fpa department na kozi ya uogeleaji
Nifollow instagram kwa jina kaukwaju