Upekee wa udsm na vyuo vingine....ukumbi wake wa Nkruma hall kuwemo kama nembo kwenye noti ya tsh.500.

Upekee wa udsm na vyuo vingine....ukumbi wake wa Nkruma hall kuwemo kama nembo kwenye noti ya tsh.500.

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Udsm in chuo kikubwa na sifa yake kubwa ni kupata bahati ya ukumbi wake maarufu wa lecture Nkruma hall kuwa kama. Nembo ktk noti ya tsh.500
Pia wahitimu wa chuo hicho ni kama uhitimu na kozi ya jkt sabAjbu mazingira yake ni mazoezi toshA kwani kunA .miinuko na miteremko rafiki kwa afya na ina walimu bora kabisa kama Dr.lwaitama-mstaafu,Dr Mbura,prf.Mkandala-mstaafu,Dr kadege,pf Sivji na wengine wengi,
Mwisho kipo chini ya rais mstaafu Dr.Jakaya kikwete aliesoma hapo,ambae aliteuliwa. Na mh rais Dr.John maghufuli,
Nb;ni chuo pekee ambacho hutoa kozi ya uchoraji katuni hasa aina ya tinga-tinga fpa department na kozi ya uogeleaji
Nifollow instagram kwa jina kaukwaju
 
Udsm in chuo kikubwa na sifa yake kubwa no kupata bahati ya ukumbi wake maarufu wa lecture Nkuma hall kuwa kama. embo ktk noti ya tsh.500
Pia wahitimu was chuo hiko ni kama uhitimu na ko,zi ya jkt sabAbu mazingira yake ni mazoezi toshA kwani kunA .miinuko na miteremko rafiki kwa afya na walimu bora kabisa kama Dr.lwaitama-mstaafu,Dr Mbura,prf.Mka dala-mstaafu,Dr kadege,pf Sivji na wengine wengi,
Mwisho kipo chini ya raid mstaafu Dr.Jakaya kikwete aliesoma hapo,ambae alite uliwa. Na mh rais Dr.John maghufuli,
Nb;no chuo pekee ambacho hutoa kozi ya uchoraji katuni has a aims ya tinga-tinga fpa na kozi ya uogeleaji
Nifollow instagram kwa jina kaukwaju
Andika vizuri
 
Udsm in chuo kikubwa na sifa yake kubwa no kupata bahati ya ukumbi wake maarufu wa lecture Nkuma hall kuwa kama. embo ktk noti ya tsh.500
Pia wahitimu was chuo hiko ni kama uhitimu na ko,zi ya jkt sabAbu mazingira yake ni mazoezi toshA kwani kunA .miinuko na miteremko rafiki kwa afya na walimu bora kabisa kama Dr.lwaitama-mstaafu,Dr Mbura,prf.Mka dala-mstaafu,Dr kadege,pf Sivji na wengine wengi,
Mwisho kipo chini ya raid mstaafu Dr.Jakaya kikwete aliesoma hapo,ambae alite uliwa. Na mh rais Dr.John maghufuli,
Nb;no chuo pekee ambacho hutoa kozi ya uchoraji katuni has a aims ya tinga-tinga fpa na kozi ya uogeleaji
Nifollow instagram kwa jina kaukwaju
Unawaaibisha graduates wa UDSM kwa huo uandishi..
Hujui kuanza sentensi kwa herufi kubwa baada ya kituo..
Habari haina aya ,hueleweki point yako ni nini?

Halafu watu wanaokomaa kusifia vyuo kichwani huwa weupe sana kwahio wanatumia title ya chuo kuficha ujinga wao.
 
We jamaa umesoma UDSM? Kama ni kweli karudie carier yako. Unadhalilisha elimu yako, maana kuandika tu huwezi. Swaini.
 
Udsm in chuo kikubwa na sifa yake kubwa ni kupata bahati ya ukumbi wake maarufu wa lecture Nkruma hall kuwa kama. Nembo ktk noti ya tsh.500
Pia wahitimu wa chuo hicho ni kama uhitimu na kozi ya jkt sabAjbu mazingira yake ni mazoezi toshA kwani kunA .miinuko na miteremko rafiki kwa afya na ina walimu bora kabisa kama Dr.lwaitama-mstaafu,Dr Mbura,prf.Mkandala-mstaafu,Dr kadege,pf Sivji na wengine wengi,
Mwisho kipo chini ya rais mstaafu Dr.Jakaya kikwete aliesoma hapo,ambae aliteuliwa. Na mh rais Dr.John maghufuli,
Nb;ni chuo pekee ambacho hutoa kozi ya uchoraji katuni hasa aina ya tinga-tinga fpa department na kozi ya uogeleaji
Nifollow instagram kwa jina kaukwaju
Unatuangusha tuliosoma hapo.
 
Unawaaibisha graduates wa UDSM kwa huo uandishi..
Hujui kuanza sentensi kwa herufi kubwa baada ya kituo..
Habari haina aya ,hueleweki point yako ni nini?

Halafu watu wanaokomaa kusifia vyuo kichwani huwa weupe sana kwahio wanatumia title ya chuo kuficha ujinga wao.
Kwani naye kasoma?
 
Back
Top Bottom