Njiwa wangu
Senior Member
- Dec 5, 2020
- 146
- 289
Mkuu huyo yangawene alitukana dagaa wa ziwa nyasa wala hawana madhara kabisaa, ila huyu alienda kuvua Sangara ziwa victoria na Sindiria unategemea nini🤣🤣🤣Kwamba si kwa mujibu wa sheria ila ni personal vendetta? Hii mbona ni Tanzania tu? Mbona moto wa yangachawene anadunda mitaani? Yeye hakutukana?
Kupoteza pesa za mlipa kodi Bure. Kesi hii ina maslahi na nani? Hasara tupu kwa wahusika wote ikiwamo serikali.Wafute hiyo kesi isiyo na kichwa wala miguu walahi [emoji35]
That's too personal, katukanwa Yeye binafsi, amfungulie kesi kuliko kumshikiliaKwa kifupi huyo Zumaridi wala hana kesi kubwa sana kiasi kwamba inaweza kumkalisha gerezani mda huo, shida kubwa ni kwamba kuna watu wa system aliwatukana na kuwajibu jeuri na mmoja wapo alimtaja hadi jina sasa sijui alisahau huyo mtu aliwahi kuwa General wa Jwtz na RSO pia ila now ni mchungaji so kazi anayo labda akaombe msamaha
Mkuu huyo yangawene alitukana dagaa wa ziwa nyasa wala hawana madhara kabisaa, ila huyu alienda kuvua Sangara ziwa victoria na Sindiria unategemea nini🤣🤣🤣
Ndio Tanzania hii kipngozi hakuna namnaThat's too personal, katukanwa Yeye binafsi, amfungulie kesi kuliko kumshikilia
Kuna walioko huko miaka 7Nimeshangazwa sana na hii habari, mtuhumiwa anashikiliwa gerezani zaidi ya miezi 7 lakini kila siku upande wa mashtaka wanadai upelelezi haujakamilika, sasa kwanini walimkamata?
Inavyoonekana, mashtaka wanayomtuhumu nayo yenye uzito ni yale ya kuwafanyia fujo polisi siku waliyoenda kumkamata, kinyume na hapo hakuna mashtaka mengine ya maana waliyonayo, ndio maana kila siku upelelezi bado haujakamilika.
Haya mambo yanaonesha tulivyo na mfumo mbovu wa kimahakama, ajabu hakimu anatakiwa kuwapa upande wa mashtaka angalizo, kesi ikiitwa tena mahakamani upelelezi ukiwa bado haujakamilika mshtakiwa aachiwe huru.
Kwenye himaya ya walamba asali uongo uongo ndiyo kwao. Mambo nyeti hufanyiwa siasa.
Alisema Samia watuhumiwa waache kukamatwa bila upelelezi kuwa umekamilika. Hizo kumbe zilikuwa hekaya za abunwasi tu.
Kumesikika Mwanza:
"Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hemedi Khalid ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa kuwa upelelezi wa kesi inayomkabili Diana Bundala, maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ haujakamilika."
Tabora Nako,
""Watu wasikamatwe kabla ya uchunguzi," Waziri Mkuu Majaliwa haimuhusu?"
Uongo uongo tu kwenye mambo nyeti. Huu ni muendelezo ule ue wa kutuona wananchi ni kama mang'ombe tu, kwa kutopigania kuona haki zetu zinalindwa kwa mujibu wa katiba.
Yapi yameheshimiwa? Ni kuacha kupigwa au kuteswa watuhumiwa? Ni polisi traffic kujazana mabarabarani kufukuzia rushwa? Ni takukuru kuwajibika? Ni maoni ya wananchi kuheshimiwa? Nk, nk?
Ama kwa hakika, "watanzania tatizo letu ni ujinga uliopitiliza." -- FAM.
Katiba lenyewe ndio hili mkuu alituachia mzee mchonga unategemea nini hapa mpaka tupate kitabu kipyaHakuna aliye na haki ya kuchukua sheria mkononi au hata kumkomoa yeyote akitumia jina la JMT.
Kama ndivyo anavyofanyiwa raia huyu wahusika hawastahili kushikilia nyadhifa za umma.
Mambo kama haya lazima kukazia kwenye katiba mpya ambayo kwa hakika haiwezi kusubiri tena.
Tunaishi kwa kudra za watu? Haiwezekaniki!
Kwa pesa zote hizo alizonazo anakubali kukaa jela miezi yote hio aache ubahili anunue UHURU wake.Naona Hana kesi ,sema sahz anafundishwa adabu kdgo.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Mimi ni nani hata nidai haki ya mungu mtu chini ya jua? Ni wakati wa mungu mtu chini ya jua kuonesha uungu wakeTunapaswa kupaza sauti kuidai haki ya Zumaridi na wenzake inayokiukwa kwa makusudi na jeshi la polisi. Leo kwake kesho kwa mwingine
Kwa pesa zote hizo alizonazo anakubali kukaa jela miezi yote hio aache ubahili anunue UHURU wake.
Duh !! Kadi ya chama hai ?? !!Kama zumaridi hakuwa na kadi ya chama hai atateseka sana.
Hapa ndipo ulipo ujinga wetu -- FAMMimi ni nani hata nidai haki ya mungu mtu chini ya jua? Ni wakati wa mungu mtu chini ya jua kuonesha uungu wake