Upelelezi wapiga kalenda kesi vigogo wa CCM wanaodaiwa kumuua Katibu wa chama hicho Wilaya ya Kilolo

Upelelezi wapiga kalenda kesi vigogo wa CCM wanaodaiwa kumuua Katibu wa chama hicho Wilaya ya Kilolo

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kesi ya mauaji inayowakabili viongozi watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilolo, imeahirishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa kwa kuwa upelelezi wake haujakamilika.

Mwendesha Mashtaka, Wakili wa Serikali Sauli Makori, leo Jumanne, Januari 21, 2025, ameieleza Mahakama kuwa bado kuna mashahidi muhimu na vielelezo vinavyohitaji kufanyiwa uchunguzi wa kina.

Hivyo, ameiomba Mahakama iahirishe kesi na ipange tarehe nyingine ya kutajwa.

Soma Pia: Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Hakimu Mayagilo hakupinga ombi hilo na kuahirisha kesi kwa siku 14 huku akisema itatajwa tena Februari 4, 2025.

Washtakiwa katika kesi hiyo ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Kilolo, Hedikosi Kimwaga, Diwani wa Nyanzwa, Boniface Ugwale, Katibu wa Mbunge wa Kilolo, Kefa Walles, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mlandege, Wille Chikweo na Silla Kimwaga.

Wanakabiliwa na kesi ya mauaji wakituhumiwa kumuua aliyekuwa Katibu wa chama hicho Wilaya ya Kilolo, Christina Kibiki (56).
 
1737485104738.png


Mbona Title na Content haviendani?
 
Kesi ya mauaji inayowakabili viongozi watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilolo, imeahirishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa kwa kuwa upelelezi wake haujakamilika.

Mwendesha Mashtaka, Wakili wa Serikali Sauli Makori, leo Jumanne, Januari 21, 2025, ameieleza Mahakama kuwa bado kuna mashahidi muhimu na vielelezo vinavyohitaji kufanyiwa uchunguzi wa kina.

Hivyo, ameiomba Mahakama iahirishe kesi na ipange tarehe nyingine ya kutajwa.

Hakimu Mayagilo hakupinga ombi hilo na kuahirisha kesi kwa siku 14 huku akisema itatajwa tena Februari 4, 2025.

Washtakiwa katika kesi hiyo ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Kilolo, Hedikosi Kimwaga, Diwani wa Nyanzwa, Boniface Ugwale, Katibu wa Mbunge wa Kilolo, Kefa Walles, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mlandege, Wille Chikweo na Silla Kimwaga.

Wanakabiliwa na kesi ya mauaji wakituhumiwa kumuua aliyekuwa Katibu wa chama hicho Wilaya ya Kilolo, Christina Kibiki (56).
Wanauana wao kwa wao
 
Kesi ya mauaji inayowakabili viongozi watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilolo, imeahirishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa kwa kuwa upelelezi wake haujakamilika.

Mwendesha Mashtaka, Wakili wa Serikali Sauli Makori, leo Jumanne, Januari 21, 2025, ameieleza Mahakama kuwa bado kuna mashahidi muhimu na vielelezo vinavyohitaji kufanyiwa uchunguzi wa kina.

Hivyo, ameiomba Mahakama iahirishe kesi na ipange tarehe nyingine ya kutajwa.

Hakimu Mayagilo hakupinga ombi hilo na kuahirisha kesi kwa siku 14 huku akisema itatajwa tena Februari 4, 2025.

Washtakiwa katika kesi hiyo ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Kilolo, Hedikosi Kimwaga, Diwani wa Nyanzwa, Boniface Ugwale, Katibu wa Mbunge wa Kilolo, Kefa Walles, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mlandege, Wille Chikweo na Silla Kimwaga.

Wanakabiliwa na kesi ya mauaji wakituhumiwa kumuua aliyekuwa Katibu wa chama hicho Wilaya ya Kilolo, Christina Kibiki (56).
TUkiwambia huwa mnachukulia poa.
 
Back
Top Bottom