huu ni ujinga na upungufu wa akili, hii awamu ya nne kweli ni ya wanwake( au ya kike) kama alivotabiri sheikh yahya, tunajaza madudu tu katika system itakuja kutucost kama vile kuungoa ukoloni, jamani hata vitabu vitakatifu havikulivalia njuga hili jambo, why twampa Mwenyezi Mungu masahihisho? Mwanamke kazi zake zipo wazi, kutokana na nyakati basi kama anaweza apambane, so muhimu ni kujitahidi kuchange mindset za watu na si kumzuia mwanaume mwenye uwezo asipande ili mwanamke apande, at the end of the day mwnamke hata kama ana uwezo zaidi ya mwanamme wake, mme ndo provider siku zote, its nature! lazma ukojoe, ule, uwe na love feeling, upige chafya hizi ni nature tulivoumbwa!si issues za siasa na kutafuta ujiko kwa mademu, viongozi wetu pambaf kabisa!!