Upendeleo wa wazi unaua ngumi nchini

Upendeleo wa wazi unaua ngumi nchini

kimbweto

Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
53
Reaction score
190
Nimekuwa mdau wa Vitasa LIVE baada ya Azam TV kuonyesha mchezo huo ubabaishaji umekuwa mkubwa, mabondia wanaoletwa ni wabovu na majaji wamekuwa wakipendelea mabondia wetu wanapopigwa.

Ushauri, kama upendeleo utaendelea mchezo huu utakufa na hautofuatiliwa.
 
Masumbwi iliishia enzi za Matumla, hizi mnaita vitasa ni uduanzi tu.
 
nimekuwa mdau wa vitasa live baada ya Azam kuonyesha mchezo huo.ubabaishaji umekuwa mkubwa,mabondia wanaoletwa ni wabovu na majaji wamekuwa wakipendelea live manondia wetu wanapopigwa.Ushauli kama upendeleo utaendelea mchezo huu utakufa na hautofuatiliwa
Ndomana wakiendaga nje
Kupigana majibu yanakuwaga tofauti

Ila huyu bondia aliyepigana na mfaume mfaume,alikuwa hana uwezo
Kabisa

Ova
 
nimekuwa mdau wa vitasa live baada ya Azam kuonyesha mchezo huo.ubabaishaji umekuwa mkubwa,mabondia wanaoletwa ni wabovu na majaji wamekuwa wakipendelea live manondia wetu wanapopigwa.Ushauli kama upendeleo utaendelea mchezo huu utakufa na hautofuatiliwa
fafanuwa vema ilikuwaje wengine hatukuangalia. Upande wangu pambano lililo niacha mdomo wazi ni lile la Tinampey na Mwakinyo,hadi leo sijajuwa vigezo gani hutumika kumtangaza mshindi.
 
Back
Top Bottom