Upendo kwa mama; Diamond anamjengea mama yake nyumba ya TZS 260M

Kila mara mnatangaza kuuza viwanja na nyumba zzidi ya millioni 200. NHC wanauza viflat kwa bei hiyo na watu wananunua hamuwashangai.

HUYU kijana wa watu kujenga nyumba milioni 260 mnaanza kumjadili. Ama kweli bongo kwa uchawi! manake wivu, uroho na KIJICHO vyote ni UCHAWI. vijeba vya moyo vitawaua.

Hongera Diamond kumkumbuka mamako na Mungu azidi kukubariki.
 
Tuwekee picha tuone!!! Kwa mana hata aknunua t,shirt anaziweka bbm,itakuja kuwa nyumba.,
acheni flag za kishamba,.
 
Tuwekee picha tuone!!! Kwa mana hata aknunua t,shirt anaziweka bbm,itakuja kuwa nyumba.,
acheni flag za kishamba,.

Umekua tomaso wewe.wewe amini kama utaki amini potezea sio lazima
 
Kwani ni lazima afanye matangazo?? Kesho yake atatuambia kaoga maji ya billion 2
 
huyu jamaa anazingua,,,mbona hatuioni hy nyumba??mbona tunaona za kina jay z zake hatuzioni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…