johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Yeye siyo mjinga hadi atoe Ufafanuzi hadharani ujueSasa shida iko wapi? Ningeona wa maana kama angesema fedha zimepatikana kwa ufisadi au rushwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye siyo mjinga hadi atoe Ufafanuzi hadharani ujueSasa shida iko wapi? Ningeona wa maana kama angesema fedha zimepatikana kwa ufisadi au rushwa!
Siyo mjinga tu bali anaonyesha upumbavu wake, sasa alitaka fedha za jengo zitoke wapi?Yeye siyo mjinga hadi atoe Ufafanuzi hadharani ujue
Kwani wameiba? Fedha za ruzuku si stahili yao? Za michango ya waliokuwa wabunge si ilitokana na makubaliano nao? Au alitaka waibe au wakope badala ya kutumia pesa yao? Na hao Chadema hawakuwa na matumizi mengine au mapato mengine zaidi ya ruzuku na michango ya wabunge? Kwa miaka miwili toka 2020 CDM imekuwa inategemea mchango wa Aidan peke yake? Yeye ameondoka kwa sababu ameona CDM haimfai basi angeachia hapo na ku concentrate kwenye chama chake kipya. Au alitegemea atabembelezwa au atasakamwa na chama chake cha zamani? Binti anazidi kujiharibia.Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Naunga mkono hoja inaonekana amechanganyikiwa haswaHuyu akatibiwe kuna shida kichwani...
Anaweza kuibuka mtu akadai ni Jengo lake binafsi
Imetokea Sana Makanisa ya Mitume na Manabii 😀
Ugumu wa maisha ndiyo maana kachanganyikiwaKaupendo kamepatwa na nini?
anawafunua na kuwavua wanaume hadi boxer 🐒Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Aliyeongea ni mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge MstaafuMaana hizo hela ziliwekwa kwenye account ya mtu Binafsi na mkataba wa mauziano una jina la mtu?
Nilikuwa nafikiri una uwezo wa kufikiri kumbe na wewe ni hewa tu, kwamba hiyo ruzuku alipewa mtu mkononi?
Huyu akipata posho yake anakuwa ni mtu wa hovyoMaana hizo hela ziliwekwa kwenye account ya mtu Binafsi na mkataba wa mauziano una jina la mtu?
Nilikuwa nafikiri una uwezo wa kufikiri kumbe na wewe ni hewa tu, kwamba hiyo ruzuku alipewa mtu mkononi?
Posho zenu zimetoka?Aliyeongea ni mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge Mstaafu
Nyie matutusa hamna mnachoelewa 🐼
Wameshapanic woteanawafunua na kuwavua wanaume hadi boxer 🐒
Tumezituma kuchangia ununuzi wa Jengo 😂😂Posho zenu zimetoka?
UWT sahivi naona posho zenu zinachelewa sn au kuna uhakiki?Tumezituma kuchangia ununuzi wa Jengo 😂😂
Akipata bwn hko akawa anamkandamiz atatuliaKukaa kimya pia ni jambo jema
Umeshapanic 😂
Aliyeongea ni mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge Mstaafu
Nyie matutusa hamna mnachoelewa 🐼