Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #41
Arudi tu, ila mimi kwangu nadhani toka abadili rangi ndo ilikuwa mwisho wangu na yeye, sioni radha ya kumwangalia kabisa, namiss sana lile jicho la kwenye Uko Wapi!
She will never be the same.
Mkuu Rai...Ray C kama tulivyo binadamu wengine hajakamilika.
Hayo yamepita sasa tuangalie mbele.
Binafsi namshukuru Mungu sana kwa hapa alipo hivi sasa compared to Ray C yule wa juzikati hapo.
Tumpongeze kwa hatua hii tafadhali.