johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ilikuwa hatari mida ya saa 10 ukanda wa Kunduchi, Ununio hadi Mbweni upepo mkali ulivuma na pale kwa kondo kuna kijumba kimeezuliwa bati zote.
Wakazi wa maeneo hayo walidhani kimbunga Jobo kimeibuka ghafla.
Ramadhan kareem!
Pale Mahaba beach watu walitoka nduki!Nilikuepo pale dynasty.
Nimepigwa na baridi mpaka nikahis kufa.
Nikasema leo sasa nabebwa na upepo.
Kimbunga kinatisha
Tungesikia kimekuzoa we mnafiki mwanaCcm ingekuwa safi sana.Ilikuwa hatari mida ya saa 10 ukanda wa Kunduchi, Ununio hadi Mbweni upepo mkali ulivuma na pale kwa kondo kuna kijumba kimeezuliwa bati zote.
Wakazi wa maeneo hayo walidhani kimbunga Jobo kimeibuka ghafla.
Ramadhan kareem!
Kamanda mbwakachoka!Tungesikia kimekuzoa we mnafiki mwanaCcm ingekuwa safi sana.
Pale Mahaba beach watu walitoka nduki!