SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Ni jambo zuri sana kwakweliNdani ya kanisa moja linaloanza na neno "THE CHOSEN" lililopo maeneo ya Nyakato Mwanza, wanaume 19 watangaza ndoa kwa mpigo. Kati ya wanawake waliotangaziwa ndoa single mother wako 17.
Single mother mmoja alisikika akishukuru kukumbwa na upepo wa kisulisuli kwani alikuwa ameshakata tamaa ya kuolewa.
WITO KWA SINGLE MOTHER WOTE.
Msikate tamaa upepo wa kisulisuli upo njiani kuwafikia.
Hao single mothers, wapewe somo baada ya muujiza wa upepo wa kisulisuli.
Wasiwe wepesi wa kupasha viporo, ili wapunguze migogoro ya visu na gunia mbili za mkaa.